Tazama mchoro wa stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani Bukoba itakayojengwa muda si mrefu

instanbul

JF-Expert Member
Jun 26, 2016
11,359
14,085
Habari zenu wanajamvi kumekuwa na malalamishi kwa uchakavu na ubovu Wa stendi ya mabasi mjini bukoba.ila sasa tatizo limeanza kutatuliwa baada ya halmashauri kutenga kiasi kikubwa cha pesa kutakachojenga stendi nyingine mpya takriban km5 nje ya mji Wa bukoba katikati maeneo ya kyakairabwa uganda road.

Stend hiyo itakuwa ya mabasi yaendayo mikoani tu.na daladala zitabaki ilipo stendi ya sasa lakini itakarabatiwa kuwa ya kisasa zaidi na huku kukitengenezwa stend nyingine maeneo ya machinjioni kwa magari ya kashozi na bugabo.manispaa hiyo itajenga soko kuu jipya na kashai na kujenga miundombinu ya mji huo kama round abouts ,barabara kupanuliwa na kadhalika,tazama stendi itakavyokuwa
ba353d464692b6938290cfaada49b07b.jpg

nadhani hii ndo itakuwa mwisho Wa porojo na mabezo kwa wana bukoba maana inasikitisha sana
872732c53ee1f88eb547819e4726c188.jpg

[/IMG]
 
Bukoba itatangazwa jiji maana mji ni mkubwa kama ulishawahi kufika utashanga mji unapoanzia mpaka katikati ni kama km 10 kama majiji mengine like arusha ila kinachoaribu ni miundombinu ya mji huo stend na soko serikari haijali
 
Bukoba itatangazwa jiji maana mji ni mkubwa kama ulishawahi kufika utashanga mji unapoanzia mpaka katikati ni kama km 10 kama majiji mengine like arusha ila kinachoaribu ni miundombinu ya mji huo stend na soko serikari haijali
.Unazijua sifa za mji kua jiji lakini?kwakigezo chako chaupana wa mji basi miji mingi ingekua majiji.Bukoba bado inasafari ndefu sana
 
Bukoba itatangazwa jiji maana mji ni mkubwa kama ulishawahi kufika utashanga mji unapoanzia mpaka katikati ni kama km 10 kama majiji mengine like arusha ila kinachoaribu ni miundombinu ya mji huo stend na soko serikari haijali
Kwahiyo kujenga hiyo stendi ndio kuipiku Dubai kwa miundo mbinu?

Kuna uzi humu uliwekwa eti Bukoba kuipiku Dubai kwa miundo mbinu!!
 
Bukoba itatangazwa jiji maana mji ni mkubwa kama ulishawahi kufika utashanga mji unapoanzia mpaka katikati ni kama km 10 kama majiji mengine like arusha ila kinachoaribu ni miundombinu ya mji huo stend na soko serikari haijali
Mbeya kutoka unaanza jiji hadi unamaliza ni kilometa 31. Kumi ndogo sana mkuu
 
Tanzania kwa michoro tu hata USA hawatufikii?
kwa akili ya CCM ndio tayari wameshajenga hivyo, Hapa Dar kuna michoro mpaka nyumbani kwangu inaonyesha kuna plan yao kumbe hadithi tu
Je hii michoro imekamilika? Mbona kwenye hiyo michoro mbona hakuna maeneo ya kupumzikia abiria, eneo la kupaki mabasi, etc.
 
Hahahahha mependa mchoro huo....naomba architect asisahau parking ya bodaboda za baiskeli tu maana hatutamuelewa kwakweli
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom