Tazama mazingira ya shule kumi bora Tanzania mwaka 2021

lwambof07

JF-Expert Member
Jul 12, 2016
4,593
5,202
Kwa mazingira haya unaachaje sasa kwa mfano kupata one ya point saba yaan mazingira bora kushindia hata baadhi ya vyuo vikuu
IMG_20220116_094914.jpg
IMG_20220116_094855.jpg
IMG_20220116_094836.jpg
IMG_20220116_094819.jpg
IMG_20220116_094804.jpg
IMG_20220116_094741.jpg
IMG_20220116_094722.jpg
IMG_20220116_094706.jpg
IMG_20220116_094653.jpg
IMG_20220116_094641.jpg
IMG_20220116_094628.jpg
IMG_20220116_094614.jpg
IMG_20220116_094556.jpg
IMG_20220116_094541.jpg
IMG_20220116_094433.jpg
IMG_20220116_094419.jpg
IMG_20220116_094402.jpg
IMG_20220116_094342.jpg
IMG_20220116_094327.jpg
IMG_20220116_094309.jpg


IMG_20220116_094653.jpg
 
Mchagua jembe si mkulima! Lakini sijawahi kuona mkulima anaelimia Rungu!

Mchagua uchi si mfanya mapenzi lakini asikwambie mtu kuna watu wana mialamala!!! UTACHEMKA TU UTAKE USITAKE

Kuna kijiji kimoja watoto wanaenda shule na mtumbwi na kurudi na ngarawa!
 
Kama mazingira ya utulivu yanachangia tuwakodishie wanafunzi jengo la slipway pale au Ramada warudie pepa tuone kama watatoka na hizo Division 1 kama zilivyo!

Walimu na wasimamizi watoke shule tofauti na yao lets say baobab tu. Wapewe pepa nyengine tu halafu uone kama ishu ni mazingira ama ipo namna😆
 
O level, private schools wapo mbali sana

Unaweza kuta hiyo mzumbe imewekwa ili kubalance mizani tu, angalau iwepo ata shule ya serikali
mzani mbona bado hata hivyo mzumbe haitoshi peke yake
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom