Tazama kwa makini tarakimu na maneno....umakini wa kiongozi wetu uko wapi?

Quinty

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
462
74
Wanajamvi hili nimeshindwa kulipatia majibu ya msingi naomba nieleweshwe ni kwanini hakuna umakini katika kuandaa hizi vitu halafu eti mkuu wetu anashika na anapiga picha na meno anatoa kufurahia...hakuna washauri au watu wakufuatilia..maana haiwezekani makosa yafanyike zaidi ya mara moja. Hizo cheque tarakimu na maneno tofauti kabisa...kama hakuna umakini kwa mambo madogo kama haya je makubwa ya kuongoza nchi na familia inakuwaje...? Si ndo matokeo ya kutuingiza mkenge kwenye mikataba feki maana hakuna umakini.
 

Attachments

  • 226852_10150175381959624_783834623_6954527_4783343_n.jpg
    226852_10150175381959624_783834623_6954527_4783343_n.jpg
    21.4 KB · Views: 54
Back
Top Bottom