Hii ilikua katika sherehe ya Mikaeli na watoto ambapo Nape Nauye alikua anawasalimu watoto wa sunday school katika kata ya Elerai.View attachment 38221
Hapa alikuwa anawahubiria watoto je hapo nini kama si ombwe katika utawala??
View attachment 38221
Hapa alikuwa anawahubiria watoto je hapo nini kama si ombwe katika utawala??
Hata mimi nmemwona anasema kuna makesi kama 30 mahakamani. Kwa maana hiyo kutakuwa na chaguzi kama 10. Sijui Arusha mjini itakuwepo?Mheshimiwa John Tendwa anasema kuna chaguzi nyingine kama kumi zinakuja muda si mrefu,
Source: TBC1 live.
kukijenga chama unaanza kulisha sumu ya siasa kwa watoto.