Tazama harusi ya kigogo wa CHADEMA, Henry Kilewo alivyofunga ndoa na Joyce Kiria

JoJiPoJi

JF-Expert Member
Aug 8, 2009
2,907
3,260
"MAELEZO YANGU HAYA YATAONDOA UTATA WOTE NA HOPE MTANIELEWA"

Kiruuuuuuuuuuuuuuuu wananchi wenye hasira kali angalieni msinitoe roho!

Kwa yeyote niliyemkwaza anisamehe bureeee..

Wacha niwape uzoefu-

1497635_239964636179237_768861464_n.jpg

1. Ndoa ya kwanza nilichangisha kama UTAMADUNI wa wengi kwenye jamii yetu...
Lakini Pamoja na michango tena mingi, tuliingia gharama zetu kubwa sana, na kama haitoshi tulikopa.

Baada ya shughuli tulianza KUPIGA MIAYO YA NJAA hatuna ela na madeni juu..binafsi nilijuta sana lakini siku zote MAJUTO ni Mjukuu...(siku isiyokuwa na jina Ndoaikasambaratikia****)
1502567_239928089516225_1410306060_n.jpg

2. Ndoa ya pili.(BOMANI/SERIKALINI)Mungu akanikutanisha na Henry Kilewo anaejua nini maana ya Mke, anaeniheshimu na kunitunza, anaenipenda na kunijali.

Henry akaandaa sherehe NDOGO SANA ndugu jamaa na marafiki WACHACHE sana, kwa GHARAMA ZAKE.

Mume wangu Henry hakusumbua mtu yeyote. Baada ya lile tukio wala hatukupata ile adha ya madeni na kuishiwa pesa kabisa ndani. Tukaendelea na maisha matamu kwa Upendo na Uaminifu mpaka sasa.

[/h]TAZAMA HARUSI YA KIGOGO WA CHADEMA, HENRY KILEWO ALIYEFUNGA NDOA NA JOYCE KIRIA .... KIRIA AANIKA SIRI NZITO YA NDOA YAO HADHARANI .... SOMA ZAIDI - Niaje Tanzania.....!!
 

[h=5]
1486740_239965026179198_703462224_n.jpg

"MAELEZO YANGU HAYA YATAONDOA UTATA WOTE NA HOPE MTANIELEWA"

Kiruuuuuuuuuuuuuuuu wananchi wenye hasira kali angalieni msinitoe roho!

Kwa yeyote niliyemkwaza anisamehe bureeee..

Wacha niwape uzoefu-

1497635_239964636179237_768861464_n.jpg

1. Ndoa ya kwanza nilichangisha kama UTAMADUNI wa wengi kwenye jamii yetu...
Lakini Pamoja na michango tena mingi, tuliingia gharama zetu kubwa sana, na kama haitoshi tulikopa. Baada ya
shughuli tulianza KUPIGA MIAYO YA NJAA hatuna ela na madeni juu..binafsi nilijuta sana lakini siku zote
MAJUTO ni Mjukuu...(siku isiyokuwa na jina Ndoaikasambaratikia****)
1502567_239928089516225_1410306060_n.jpg

2. Ndoa ya pili.(BOMANI/SERIKALINI)Mungu akanikutanisha na Henry Kilewo anaejua nini maana ya Mke,
anaeniheshimu na kunitunza, anaenipenda na kunijali.
Henry akaandaa sherehe NDOGO SANA ndugu jamaa na marafiki WACHACHE sana, kwa GHARAMA ZAKE.
Mume wangu Henry Hakusumbua mtu yeyote. Baada ya lile tukio wala hatukupata ile adha ya madeni na kuishiwa
pesa kabisa ndani. Tukaendelea na maisha matamu kwa Upendo na Uaminifu mpaka sasa.

[/h]TAZAMA HARUSI YA KIGOGO WA CHADEMA, HENRY KILEWO ALIYEFUNGA NDOA NA JOYCE KIRIA .... KIRIA AANIKA SIRI NZITO YA NDOA YAO HADHARANI .... SOMA ZAIDI - Niaje Tanzania.....!!

Walienda kupata VIPIMO VYA DAMU,au jamaa anapiga kiKAMANDA
 

Henry akaandaa sherehe NDOGO SANA ndugu jamaa na marafiki WACHACHE sana, kwa GHARAMA ZAKE.
Mume wangu Henry Hakusumbua mtu yeyote.

Nilishakuwa mwandishi wa habari kusema mume aliandaa sherehe ndogo ya watu wachache sana ni uwongo kwa wachagga. Wachaga harusi ni issue kubwa Useme hivi "ndugu na marafiki waliiisusia hiyo harusi na waligoma kuchanga hivyo zigo likamwangukia mume peke yake"!!! Usilete uwongo.
 
Hongera sana Joyce Kiria,hope ni Mrs Kilewo.MUNGU ni mwema sana,hatazami mambo kama sisi binadamu tunavyoyatazama...yeye si mwingi wa hasira bali mwingi wa rehema,husamehe bila kuhoji na hana kisasi,uhukumu kwa haki bila upendeleo na hutoa bila kuombwa.
Makosa yameumbwa kwa ajili ya mwanadamu,ubinadamu hutimia kwa kukiri madhaifu yetu na kuanza upya,kwani wewe ni nani hata usimkosee Mungu wako?kwani wewe ni nani hata Mungu asikusamehe na kuanza upya?
Nabii Daudi ambayo kwayo ukoo wa Yesu umetokea alimkasirisha Mungu,akiwa amejazwa na tamaa za mwili,alimpenda mke wa Huria,Daudi akiwa juu ya paa akizungukazunguka alimuona mke wa Huria ktk utupu wake,akaingia tamaa na kumtamani,ili kutimiza adhma yake akamuweka Huria mstari wa mbele ktk jeshi vitani,ili afe naye azini na mke wa Huria.
Alitimiza,lkn Mungu alimsamehe na kumuweka kama mfalme wa Mataifa,na ktk yeye ukoo wa Yesu ukazaliwa,kwani wewe ni nani usiye hata ktk ukoo wa Yesu na usitende dhambi?Mungu husamehe,tena katufunza tusamehe 7x70,Mwanamke Malaya aliyekimbia mikononi mwa Yesu ili asipigwe mawe alipona,si kwa sbb ya ubaunsa wa Yesu bali sbb ya hekima ya Yesu,aliyewataka makusanyo wasio na dhambi wawe wa kwanza kumtupia,wote walitawanyika abb hakukuwa na asiye na shambi.
Mungu hatazami kama mwanadamu anavyotazama,yupo tayari kuwaacha kondoo kenda walio zizini ili kumfuata mmoja aliyepotea,alimpa mamlaka Sauli aliyewatesa na kuwaua wafuasi wake,akampa upofu na Anania akamrudisha ktk nuru ili kumpa ushuhuda,hatimaye Sauli akabatizwa na kuitwa Paulo,akizunguka Samalia na Yudea kuutangaza habari njema.
Nayasema haya sbb kuna watu wameanza kuhukumu,wasijue lililo ndani yako na lililo ktk kusudi la Mungu,na wengine si kwa lolote,bali kwa chuki za kisiasa kwa mmoja wa waliofunga ndoa.
Tusihukumu ili tusije tukahukumiwa,kipimo kile tuwajaziacho wenzetu kwa kuwahukumu,ndio tutakachojaziwa na sisi.
 
Mbowe kafanyaje wakaanga sumu? Kwa taarifa yenu ndo kwanza penzi lake na mpendwa mke wake ndo limekuwa tamu kama asali na juzi walibariki mtoto kijijini kwao machame na sherehe ya ukweli mwenye wivu ajinyo na ambae hajawahi kuwa na kidumu nje na awe wa kwanza kurusha jiwe.
 
Nilishakuwa mwandishi wa habari kusema mume aliandaa sherehe ndogo ya watu wachache sana ni uwongo kwa wachagga. Wachaga harusi ni issue kubwa Useme hivi "ndugu na marafiki waliiisusia hiyo harusi na waligoma kuchanga hivyo zigo likamwangukia mume peke yake"!!! Usilete uwongo.

kwanini ilisusiwa mkuu kiria hakubariki nn
 
Nilishakuwa mwandishi wa habari kusema mume aliandaa sherehe ndogo ya watu wachache sana ni uwongo kwa wachagga. Wachaga harusi ni issue kubwa Useme hivi "ndugu na marafiki waliiisusia hiyo harusi na waligoma kuchanga hivyo zigo likamwangukia mume peke yake"!!! Usilete uwongo.

uandishi wako wa Habari unahusiana vipi na ulichoandika?
 
Aliyekuwa mumewe Nelly mkongo alifunga ndoa last sat kanisani hatimaye kkkt wamebatilisha ndoa
 
Aliyekuwa mumewe Nelly mkongo alifunga ndoa last sat kanisani hatimaye kkkt wamebatilisha ndoa

.......Hata mie nashangaa, ninavyojua ukishafunga ndoa kanisani huwa hakuna talaka.
Talaka inatolewa mahakamani na sio kanisani.
Labda kama mmoja wapo afe, ndipo utafunga tena ndoa ya kanisa.

Ndio maana mwanzo waliamua kufunga ndoa serikalini, sababu kanisa halikukubali.

Nashangaa tena inakuwaje wamerudi kanisani. Ila ndio makanisa ya kidoti.com.
 
Back
Top Bottom