TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,744
- 21,191
Hongera kwa kumalizia hasira kwa babako!.We **** ulikimbia hesabu kaa kimya. Imebidi nitukane tu labda roho yangu itapoa. Najiona nipo shimoni kwa huu ujinga wanatuletea hawa viongozi
Hongera kwa kumalizia hasira kwa babako!.We **** ulikimbia hesabu kaa kimya. Imebidi nitukane tu labda roho yangu itapoa. Najiona nipo shimoni kwa huu ujinga wanatuletea hawa viongozi
Niliyezaa na mama yako au sio? Usijari mwanangu siku nyingine kuwa na heshimaHongera kwa kumalizia hasira kwa babako!.
Ni_screenshot ila nitapoteza muda, maana kila kitu kipo wazi 50,000 makato hayazidi 6,500/- ila 500,000 ndiyo unakatwa kuanzia 7,400 mpaka 13,800.Sawa mkubwa wangu ishi kwenye ulimwengu wako
@Opportunity Cost wewe na kipochi manyoya mmetofautiana ule ute ute tuuAcha blaa blaa wewe hiyo ni kodi iliyongezeka
Ugali moto, mboga moto!!mafuta ya boda boda nayo yamepanda bei kwaio nae atachaji maybe elf tatu na zaid kulingana na umbali
Wako walioajiriwa ofisini kwa ajili ya kazi hizo, sasa kama wameshindwa kubuni kitu kidogo kama hiko basi waachie ngazi au wanunue mawazo. No free lunchVitaje hapa
Absolutely!Hapa naona fulsa kwa dereva bodaboda mwaminifu. Yaani kama unamtumia pesa elfu 50000/= makato elfu 7500/= si bora umpe bodaboda elfu 2000/= aikimbize fasta
Buni wewe wamebuni hizo tozo unazolia Lia hapaWako walioajiriwa ofisini kwa ajili ya kazi hizo, sasa kama wameshindwa kubuni kitu kidogo kama hiko basi waachie ngazi au wanunue mawazo. No free lunch
Ndicho nilichofanya leo na nitakachofanya kwa miaka ijayo, serikali itakula kodi yangu nyingine siyo ya miamala ya simu.Hapa naona fulsa kwa dereva bodaboda mwaminifu. Yaani kama unamtumia pesa elfu 50000/= makato elfu 7500/= si bora umpe bodaboda elfu 2000/= aikimbize fasta