Hii ni kodi?Tulipe kodi. Tujenge taifa. Kuna wigo mpana tu wa kutuma na kupokea pesa. Hata benki unaweza kutumia
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hii ni kodi?Tulipe kodi. Tujenge taifa. Kuna wigo mpana tu wa kutuma na kupokea pesa. Hata benki unaweza kutumia
Apo kodi ishakwata vat ,pia na bado wameongezea mengineTulipe kodi. Tujenge taifa. Kuna wigo mpana tu wa kutuma na kupokea pesa. Hata benki unaweza kutumia
ni 4750 tuBiashara ya pesa Kwa simu inaenda kuporomoka Kwa kasi.
Yani gharama za kutuma na kutoa 50000 ni 7500.
Usikute umekaa sebuleni kwa bwn shemeji.Tulipe kodi. Tujenge taifa. Kuna wigo mpana tu wa kutuma na kupokea pesa. Hata benki unaweza kutumia
Mkuu hili swali hua najiuliza sipati jibu.Mfano tu gas ya mtwara sijui mapato yake yanafaida gani kwetu . Maana tunakamuliwa mpaka basi.Waache tu mali asili zetu maana zinaishia sijui wapi so sadHuwa najiuliza zile raslimali ambazo tunaambiwa tunazo mpaka wazungu wanaitamani nchi yetu, yako wapi ili yatupunguzie hizi double taxation? Au hizo raslimali ni hizi line zetu za simu?
Rasilimali zimekuwa line za simu na mafuta ya mabeberu.....wewe kazi yako ni kuongeza mia mia, wakizubaa unakandamizia jero au buku mbona ni raha sana kuwa waziri wa fedha kwenye nchi ya wadanganyika, huhitaji kutumia akili nyingi.Huwa najiuliza zile raslimali ambazo tunaambiwa tunazo mpaka wazungu wanaitamani nchi yetu, yako wapi ili yatupunguzie hizi double taxation? Au hizo raslimali ni hizi line zetu za simu?