๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† Alaa kwa hiyo huko zipo ni za kuchukua tuu? Ingekuwa hivyo wale wachimbaji wadogo wote wangekuwa matajiri..

Hakuna pesa ya bure hapa Duniani
Hii ya KWENYE MIAMALA WANACHUKUA BURE MKUU
 
Kwa wenye kawaida ya kutunzia fedha za matumizi kwenye simu inabidi tubadili mfumo sasa....Tutazichimbia ardhini, ukitaka kutumia unapiga jicho kushoto kulia hakuna anayekutazama unafukua unachukua mzigo wako.
 
Kote huko unakokusema tozo zinakuja kama hazipo mtasaidia sana serikali.Unazungumzia luku ambayo mlikuwa mnalia lia juzi tuu hapo.

Unataka raha na maendeleo parallel? unachekesha lazima uumie upande mmja ili kupata kingine.Ni hivi hakuna wajomba wa kukuletea maendeleo,ndio maana Mwendazake alikuwa anawapora pesa kwenye account maana hamtaki kulipa kodi halali ila huduma zikikosekana kazi kulaumu na kukosoa.

Ni hivi hapo ulipo utakuta huwa hutoi risiti kwa wateje wanaonunua au hudai lisiti ukinunua afu unataka serikali itoe wapi pesa kama huwajibiki? Kwa njia kama hizi ambazo kila mtu anatumia ndio safi serikali kukusanya pesa maana hakuna kukwepa ,hii inafidia kule amabako hujawajibika.Serikali kamatia hapo hapo maana hakuna cha tajiri wala maskini unalipa kulingana na matumizi.
Ngoja kwanza kama suhala ni kodi je kuna muamala gan ambao haukatw kod?uku sio kujenga nchi uku ni kukomoa kwa sababu mtu hawezi kukataa kama suhala ni maendeleo iweje wachague huduma za sim ambazo watumiaj weng ni masikin wa kipato bas ata kama ndio kuchangia maendeleo si wangechukua kias fulan kidogo sio kama ilivyo

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Hapa naona fulsa kwa dereva bodaboda mwaminifu. Yaani kama unamtumia pesa elfu 50000/= makato elfu 7500/= si bora umpe bodaboda elfu 2000/= aikimbize fasta
mafuta ya boda boda nayo yamepanda bei kwaio nae atachaji maybe elf tatu na zaid kulingana na umbali
 
Kumbe ni nini mzee? pole sana
Iyo sio kodi kwa sababu kama kod imeshakwata na mtandao husika mfano ilikua ukitoa au ukituma ela kuna kiasa fulan unachajiwa ambacho umo kuna kod ya serikal ambayo ndio kod pamoja na vat zote zilishakua zinakatwa na hakuna aliekua anakwepa ilo,kilichoongezeka sasa hiv ni wao wenyewe wameita tozo au wazir alisema mchango wa mshikamano sina tatzo na ilo ila tatzo lililokuwepo wameweka kiwango kikubwa sana alaf inajirudia umo umo kwa mtu mwenye unafuu ni sawa ila kwa weng ambao kipato cha kuungaunga ili ni tatzo

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Iyo sio kodi kwa sababu kama kod imeshakwata na mtandao husika mfano ilikua ukitoa au ukituma ela kuna kiasa fulan unachajiwa ambacho umo kuna kod ya serikal ambayo ndio kod pamoja na vat zote zilishakua zinakatwa na hakuna aliekua anakwepa ilo,kilichoongezeka sasa hiv ni wao wenyewe wameita tozo au wazir alisema mchango wa mshikamano sina tatzo na ilo ila tatzo lililokuwepo wameweka kiwango kikubwa sana alaf inajirudia umo umo kwa mtu mwenye unafuu ni sawa ila kwa weng ambao kipato cha kuungaunga ili ni tatzo

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Acha blaa blaa wewe hiyo ni kodi iliyongezeka
 
Ebanaaa eeehh!!! Tutakua tunapeleka kwa boda boda tu.
download%20(1).jpg
 
Labda anadhani ni kodi ya pango
Kiuhalisia ni kodi ,lkn ukija upande mwingne na ata hao wausika walioleta ilo jambo hawasem kama kod kwa sababu kama ni kod tunayoijua bas ingeenda moja kwa moja kuungana na ile iyokuwepo mwanzo mfano labda mwanzo kama serikal ilikua inaingiza 300 ktk muamala wa kias fulan bas pale pale wangeongeza iko kias ,lkn hii ilivyo ile ya mwanzo imebak vile vile imekuja nyingne ambayo wanasema tozo ya serikal na wanakuambia kabisa wamelenga jambo fulan ni kama vile mchango ambao haupo ndan ya kod japo inaweza kuwa sawa ,ilo sio tatzo tatzo iko kias walichoamua kuchukua ni kias kikubwa kwa walio weng

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hili swali hua najiuliza sipati jibu.Mfano tu gas ya mtwara sijui mapato yake yanafaida gani kwetu . Maana tunakamuliwa mpaka basi.Waache tu mali asili zetu maana zinaishia sijui wapi so sad
tanzanite 'only in tanzania
makaa ya mawe
almas
dhahabu
mbuga
mountains
lakes,rivers,ocean,swamps
gases
 
Kiuhalisia ni kodi ,lkn ukija upande mwingne na ata hao wausika walioleta ilo jambo hawasem kama kod kwa sababu kama ni kod tunayoijua bas ingeenda moja kwa moja kuungana na ile iyokuwepo mwanzo mfano labda mwanzo kama serikal ilikua inaingiza 300 ktk muamala wa kias fulan bas pale pale wangeongeza iko kias ,lkn hii ilivyo ile ya mwanzo imebak vile vile imekuja nyingne ambayo wanasema tozo ya serikal na wanakuambia kabisa wamelenga jambo fulan ni kama vile mchango ambao haupo ndan ya kod japo inaweza kuwa sawa ,ilo sio tatzo tatzo iko kias walichoamua kuchukua ni kias kikubwa kwa walio weng

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
that so....
 
Acha blaa blaa wewe hiyo ni kodi iliyongezeka
Ndio ni kodi ,ila wameipa jina lingine waniita mfuko wa mshikamano ,ninachosikitika mm apo ktk kias uko nyuma ukituma au ukitoa unakatwa kias fulan kinaenda ndio kodi inakuja nyingne inazipita zote yan kod ya serikal mpaka makato ya mtandao ili ndio tatzo ata kama huo mfuko muhim sawa ila wangeweka kias chin ya iki ,mfano ata ktk umeme kuna rea malalamiko na maumivu sio meng kwa sababu kias hakikua kikubwa sana


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nchi haijengwi siku moja .Tuijenge taratibu bado kuna vizazi vipo sasa mnataka kumaliza kujenga kwetu sisi mtatuua njaaa.
Sina ukigogo wowote ila nataka nikienda hosp nikute dawa nk,nikienda kijijini nifike vizuri.

Wapiga kelele wengi hapa mnaishi mijini ila sisi wa Vijijini hatuna maji, barabara wala vituo vya afya .
 
Back
Top Bottom