Tazama foleni kukata tiketi ya dola 2, mshindi dola bilioni 1.2, bahatinasibu inaitwa The Powerball

mxyo16

JF-Expert Member
Mar 29, 2011
1,243
758
Mchezo huu unachezwa kila jumamosi na jumatano, jackpot ya jana jmosi ilikua dola milioni 900 na hakushinda mtu, dau la jumatano ijayo ni dola bilioni 1.3......
Ukishinda unaamua either ulipwe cash lump sum au ulipwe kwa installments ndani ya miaka 29.

Mchezo ni wa staili ya bingo kama ya ITV long time ago kama mnakumbuka, ila hii wanatoa mipira mitano myeupe, na mmoja mwekundu...
Ili ushinde, namba za mipira mitano iliyochaguliwa nilazima zifanane katika tiketi yako bila kujali mpangilio wowote ule ila namba ya sita katika tiketi yako ni lazima ifanane exactly na namba ya mpira mwekundu yani the powerball....

2FF950CD00000578-3391815-image-a-1_1452406528168.jpg

mipira mitano ya mwanzo...

2FF9507500000578-3392334-image-a-5_1452410127583.jpg

The powerball

Namba za jackpot $900m, jana ni 32, 16, 57, 34, powerball 13

2FF5C8EE00000578-3391815-image-a-28_1452387840667.jpg


2FF5C8DE00000578-3391815-image-a-26_1452387832704.jpg


2FF6240D00000578-3391815-image-a-25_1452387756827.jpg


2FEE3AD200000578-3391815-image-a-16_1452366143102.jpg



Msikie mzungu alipoulizwa atafanyia nini hizo hela akishinda: Jibu lake ni kununua machangu na cocaine kwa kwenda mbele, nilidhani ngozi nyeusi tu ndio zao hizo




2FF65C7300000578-3391815-image-a-21_1452387491665.jpg

na wazee wamo

Ila inachezwa USA tu, sorry wazee wa kuweka mzigo. ...mngetandika mikeka yenu ya kutosha hapa. Huko kwenyewe majority huwa wana ignore, ila kutokana na hilo dau ....watu kibao wamechangamkia fursa
 
Last edited:
Nikishinda hilo bingo kwanza nanunua mansion moja hivi lipo vila maria,long island
uploadfromtaptalk1452486797911.jpg

Bei ndogo 85mill USD.kisha napeleka order ya kutengenezewa private jet ya gulfstream g650.then nakuja huko moshi kwa ajili ya tambiko na pale rombo najenga ikulu migombani kabisa na lami ifike home.
 
Nikishinda hilo bingo kwanza nanunua mansion moja hivi lipo vila maria,long island View attachment 316082
Bei ndogo 85mill USD.kisha napeleka order ya kutengenezewa private jet ya gulfstream g650.then nakuja huko moshi kwa ajili ya tambiko na pale rombo najenga ikulu migombani kabisa na lami ifike home.


keep on dreaming
 
Back
Top Bottom