Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,542
- 2,172
- Thread starter
- #101
kali SanaNimeiyona mkuu yaani video yake umeiweka inaonekana vizuri Sana.
kali SanaNimeiyona mkuu yaani video yake umeiweka inaonekana vizuri Sana.
nikweli kaliKali mno aise,
Sanaaa!Inapendeza sana...
Hakika 100%" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
Hii kazi ni kubwa sana,Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,
Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.
Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,
#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,
Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.
Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,
#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa
View attachment 2055514
Pia, soma: Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii
Naungana na wewe kwa 100% kwenye hiliHii kazi ni kubwa sana,
WATANZANIA hakika Mama huyu anatupenda sana,
Tuchape kazi kwa bidii
Daaah,Hapo mwanzoni naona wameizungumzia Ngorongoro nama wamasai na wanyama wanavyoishi pamoja.
Na bado kuna watu wanapiga kelele waondolewe.
Inasikitisha mno.
Tatizo ninaloliona ni hilo jina la filamu hii. Kama mtu ni Mtanzania mwenye asili ya Kiafrika, mtu mweusi, unaishi hapa hapa Magomeni, unazaa mtoto wako wa kiume na unampa jina “Prince William”, basi wengine wataona mwenzetu ni “British” sana na watakusifia kwa uzungu wako. Lakini pia wapo wengine wengi watakuona kituko; mtu usiyejitambua na kujithamini! Kulikuwa na ulazima gani kuiita hiyo filamu “The Royal Tour” wakati wangeweza kuiita jina lingine lolote lenye uzito na heshima ya kujitambua? Mfano: The Presidential Tour”? Jamani, jamani, jamani! Heshima ya ‘Royal’ ina nchi zake na Tanzania hatuko kati ya hizo nchi. Hili wazo la kutoa jina hilo lilipata baraka zote za wakuu wa Wizara, Serikali na Mkuu wa nchi yetu? Hivi kweli hakuna hata mtu mmoja aliona upungufu huo na kushauri inavyopasa? Aibu zingine huko duniani tunajitakia wenyewe.Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,
Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.
Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,
#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa
View attachment 2055514
Pia, soma: Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii
Nia yake ni kuwavutia hao wenye jina hilo mkuuTatizo ninaloliona ni hilo jina la filamu hii. Kama mtu ni Mtanzania mwenye asili ya Kiafrika, mtu mweusi, unaishi hapa hapa Magomeni, unazaa mtoto wako wa kiume na unampa jina “Prince William”, basi wengine wataona mwenzetu ni “British” sana na watakusifia kwa uzungu wako. Lakini pia wapo wengine wengi watakuona kituko; mtu usiyejitambua na kujithamini! Kulikuwa na ulazima gani kuiita hiyo filamu “The Royal Tour” wakati wangeweza kuiita jina lingine lolote lenye uzito na heshima ya kujitambua? Mfano: The Presidential Tour”? Jamani, jamani, jamani! Heshima ya ‘Royal’ ina nchi zake na Tanzania hatuko kati ya hizo nchi. Hili wazo la kutoa jina hilo lilipata baraka zote za wakuu wa Wizara, Serikali na Mkuu wa nchi yetu? Hivi kweli hakuna hata mtu mmoja aliona upungufu huo na kushauri inavyopasa? Aibu zingine huko duniani tunajitakia wenyewe.