sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,267
- 7,855
HKMNimekutana na mtu kachaguliwa kufundisha sekondari masoma ya basic mathematics history na kiswahili...
Nimejiuliza huyu jamaa atakuwa amesoma kombi gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HKMNimekutana na mtu kachaguliwa kufundisha sekondari masoma ya basic mathematics history na kiswahili...
Nimejiuliza huyu jamaa atakuwa amesoma kombi gani
Nchi hii vituko haviishiView attachment 1636474
Mcheki huyoo.... Combination gani hiyo.!?
Akiwemo Tundu Lissu mkuuTuache kuabudu watu tusiowajua.
😂😂 maendeleo hayana vyama
Hahahahaha huyu shonde mbona ana bahati sanaaaKusema ukweli hizi ajira ni MAGUMASHI, hazina uhalisia wowote. Jina moja linajirudia mara nyngi na kituo ni kilekile.
Kuna wengine wamemaliza fom4 mwaka 2019 eti na wao wameajiriwa....
Kazi ipoView attachment 1636474
Mcheki huyoo.... Combination gani hiyo.!?
Inawezekana lengo lao ni tofauti na lako, lengo lao ni umma ujue ahadi ya ajira imetekelezwa, swala la wako wapi hao watu si muhimu.Kusema ukweli hizi ajira ni MAGUMASHI, hazina uhalisia wowote. Jina moja linajirudia mara nyngi na kituo ni kilekile.
Kuna wengine wamemaliza fom4 mwaka 2019 eti na wao wameajiriwa.
Swali: Kwanini hawajaandika vyuo walivyosomea? Kwanini hawajaweka serial number?
MUNGU TUNUSURU
Amana haifiki hiyo. Acctl lipo kama mara 196 hivi maana liko kila page sema tu nmeamua kuinang tamiccmMbona haifiki mara hizo ulizoandika lengo ni nini hasa? View attachment 1636380