Tayari Sabaya amechomoka, kama alipewa maagizo toka juu ujambazi anahusika vipi?

Hahaha hivi unajua maendeleo ya nchi yanakuja kwa uhuru unautaka we we Mbingu. ..uliza historia za nchi zikizofanya mapinduzi ya kiuchumi zilifanyaje. ...ukishasoma njoo Sasa kwa hoja. ..umesahau mababu zetu walifanywa watumwa kwa kazi zipi. .waliteswa walibebeshwa mizigo walishinda njaa mvua jua zilikuwa zinaishia vichwani mwao. .yote nikwa sababu walikuwa wanajenga chumi zao hao mabwana zenu. Utasahauje historia au nawewe unakaririshwa...uliza chumi za Marekani Uingereza Urusi German China na nyinginezo nyingi...nenda kasome sasak
1629026211853.png
Hii ni Mogadishu mji Mkuu wa Somalia, pamoja na majengo unayo yaona lakini haukaliki sababu kubwa ni kukosa Amani.
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
ila MUNGU fundi aise, kama angemuacha SPONSA SABAYA angemaliza watu wa HAI-KILIMANJARO kama tu IDI AMIN , kumbe alikuwa anatumwa na marehemu na hao wengine wawili, wa BOT na wa FEDHA, dah
 
Duplicate copy ndio kiswahili gani hicho. .jomba umesoma mpaka darasa la ngapi. .chombo gani kinachosimamia uchaguzi kimesema alinajisi uchaguzi..wewe unaumwa nini. ..hivi mnadhani watanzania ni wajinga eeeh. ..mnalishwa maneno na gaidi wenu nanyinyi mnachukua duplicate copy mnatumia. .hahaha. ..ujinga mmtupu..shwainnnnmyyy
Bado hujapanick vizuri, utapanick sana. Ule ushenzi, uhuni, uhayawani, na ukatili wa wazi tuliuona kwa macho yetu, na sio jambo la kuhadithiwa. Hicho chombo cha kusimamia huo uchaguzi, ndio kilikuwa kinatii kila atakacho yule kiongozi dhalimu. Hicho kichaka cha kusema watanzania sio wajinga, labda wa miaka ya zamani, wa sasa wote waliona ule ushenzi, lakini waliamua kukaa kimya wasije wakatekwa na lile kundi lake la Watu wasiojulikana.
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Vipi mkuu naona kachomoka tayari.
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?

Ewe Dugunde unakwitwa huku 😁😁
 
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu.

Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu?

Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu?

Kwa nini Sabaya awachukue aliowapora na kuwapekeleka polisi kama wahalifu?

My take: Ofisi ya Dpp imejaa uozo na kukosa weledi. Maana inapoteza rasilimali za umma kushitaki pasipo busara. Kosa la ujambazi liliingia vipi?
Nakusalikia mkuu, habari za tarehe 15 Oct, 2021?
 
Hii thread inanikumbusha baadhi ya thread zikitabiri JPM hamalizi muhula wa pili madarakani... watu waliongea na kutukana ilipofika 17/3/2021 thread ikafukuliwa.

Hii nayo mule mule
 
Hasa ukizingatia aliyetajwa kumtuma hayupo tena.
Na ndiye alipaswa kuwa shahidi ndiyo maana nadhani kisheria wamepindisha ili wamfunge. Nina uhakika hizi Babu Seya zipo nyingi with exception ya Rugemalira alikuwa fisadi na jizi ila katoka jela kwa mgogo wa taasisi ya urais
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom