Taxify ni kampuni hatari ya utapeli. Serikali inabidi ifuatilie upya

simba wa dodoma

JF-Expert Member
Aug 23, 2017
925
1,009
mambo vipi wana jamvi mimi nimekua nikitumia hii app ya taxify kwa ajiri ya safari zangu mara kwanza walianza vizuri lakini kipindi hiki wamekua matapeli sana

kwanza kampuni gani aina address phone no mnawasiliana kwenye email tu yaani ukitokea umepigwa kuwapata issue jua hela yako umeliwa na hata mzigo wako

pili sasa hivi wanaiba kama unataka uanze safari mfano unatoka manzese unaenda kimara pesa itakuja 4000 mpaka 5000 ila mwisho wa safari ngoma unapigwa 12000 au 20000 ni safari ya kwenye moro au dodoma na dreva wao wakali kweli ukitaka kuwasiliana nao hawana no ni wa email tu

tatu madreva wa wanatumia huu usafiri wengi wao wanalalamika kua bonasi zao hawapewi ikitokea wakifatilia wanaaambia bonasi imefuta bado na kila siku deni haliishi

mamlaka husika fatilieni hii issue watanzania wanatapeliwa bora kufuta kabisa hii imenikuata kama mara mbili hivi

nime attached na baadhi ya watu wakitoa malalamiko kwenye page yao alau kwa jeuri hawajibu wakati makampuni mengine kwenye malalamiko wako active kukujibu
PhotoGrid_1549405022029.jpeg
PhotoGrid_1549405083531.jpeg
PhotoGrid_1549405120574.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona watu wa uber mko kazini mm napanda snaa taxify sijaona tabu hio lbda tu tabu kubwa ni madereva hawajui kusoma map mpka umeuelekeze. Issue ya bei kupanda ninavojua wanakualert kama kuna price surge kbla hujarequest.
 
Naona watu wa uber mko kazini mm napanda snaa taxify sijaona tabu hio lbda tu tabu kubwa ni madereva hawajui kusoma map mpka umeuelekeze. Issue ya bei kupanda ninavojua wanakualert kama kuna price surge kbla hujarequest.
Ukiona wi gu ni dalili ya mvua, serikali iangalie Bei wanazotoa hao uber au taxify wamezipata wapi ,sumatra au jiji, umweli lazima uwe ukweli kabla ya kulaumu Tafuta abiria mwenye kagari kake atoke kariakoo mpaka kimara na awashe AC aweke mafuta ya elfu20na kifoleni aone kama atafika ub
 
siku ikikuta utatamani utoe chozi na sasa hiv hela ilivyokua ngumu
Naona watu wa uber mko kazini mm napanda snaa taxify sijaona tabu hio lbda tu tabu kubwa ni madereva hawajui kusoma map mpka umeuelekeze. Issue ya bei kupanda ninavojua wanakualert kama kuna price surge kbla hujarequest.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona wi gu ni dalili ya mvua, serikali iangalie Bei wanazotoa hao uber au taxify wamezipata wapi ,sumatra au jiji, umweli lazima uwe ukweli kabla ya kulaumu Tafuta abiria mwenye kagari kake atoke kariakoo mpaka kimara na awashe AC aweke mafuta ya elfu20na kifoleni aone kama atafika ub
Sijaelewa mkuu unasema mafuta ya 20 kwenye kagari kutoka kkoo kwenda kimara hayafiki ubungo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona wi gu ni dalili ya mvua, serikali iangalie Bei wanazotoa hao uber au taxify wamezipata wapi ,sumatra au jiji, umweli lazima uwe ukweli kabla ya kulaumu Tafuta abiria mwenye kagari kake atoke kariakoo mpaka kimara na awashe AC aweke mafuta ya elfu20na kifoleni aone kama atafika ub
Acha porojo,mafuta ya 20,000 hata Crown Athlete unaenda Kimara-Kariakoo na foleni yoyote ile. Uber na Taxify wanatumia IST ambazo Lita 1 inaenda hata 15km mafuta ya 20,000 ni Lita 8 piga hesabu.
 
Hahaha, kuna mtu alishaonesha jinsi wanavyopiga kwenye issue za maps. Ukipanda simu inawekwa kwenye low battery mode, ukifika mwisho wa safari anawasha na kukupigia mahesabu. Unajikuta gharama imeenda mara kadhaa kwa sababu inapiga zigzag.
Nshafanyiwa hivi na dereva uber.

Tuligombana usiku mzima. Na nilimpa hela iloonekana mwanzo.

Nikamwambia kama nimekuonea kalalamike Uber ili wao wanitafute.

Haiwezekani mwanzoni projection isome 9000 halafu mwisho wa safari ije 24,000.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom