TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,383
- 10,830
Kwa sasa mchakato wa kuwasaka wanachama (ambao asilimia kubwa ya walengwa ni wanafunzi wanaosoma katika chuo kikuu cha Lumumba-Moscow) unaendelea huku maandalizi ya vikao vya ufunguzi wa tawi vikiendelea ambapo ajenda kuu zinazojadiliwa kwa sasa ni lini hasa ufanyike mkutano wa ufunguzi na nani aalikwe kama mgeni rasmi kutoka Tanzania. Pia kadi za uanachama zinategemewa kuanza kutolewa punde tu zitakapowasili kutoka Tanzania.
Mlezi wa Tawi anategemewa kuwa Balozi mpya wa Tanzania nchini Urusi Kapteni Jaka Mwambi.
Kwa kuanzia wahusika wameanzisha blog iitwayo: http://www.wanachama.blogspot.com ili kurahisisha zoezi la upashanaji habari kwa wote wenye nia ya kujiunga na Chama.
Mlezi wa Tawi anategemewa kuwa Balozi mpya wa Tanzania nchini Urusi Kapteni Jaka Mwambi.
Kwa kuanzia wahusika wameanzisha blog iitwayo: http://www.wanachama.blogspot.com ili kurahisisha zoezi la upashanaji habari kwa wote wenye nia ya kujiunga na Chama.
Last edited by a moderator: