Tawi Jipya La CCM DC Washington: Hongera Sana CCM's Diaspora!!

nyie watt wa kishua babazen wana wasomesha kwa kodi ze2, ajui shida na maisha wanayo ishi watz....naamin mtalaaniwa..

Kumbuka CCM imegeuka kabisa na kuitupitilia mbali katiba na misingi yake na sasa inafanya sera zisizo na mpangilio za kufukuzia Chadema kila kukicha.
  • Maandamano na mikutano ya Chadema kuzunguka nchi nzima ambayo ilikuwa inabezwa na CCM sasa hivi wanatoka jasho kwa kasi ya ajabu Nape na wenzake akina wasira, juzi walikuwa Kigoma, next week wapi sijui.
  • Wanaiga Chadema ambao majuzi akina Zito walikuwa DC kufungua tawi.
  • Kuiga Chadema kufanya kampeni kwa chopper
  • Kuiga maanamano ya Chadema
Sihitaji kujaza kurasa kwani wadau mna mengi mnayoyajua zaidi yangu.
 
Indume Yene Kaka, nilikuwa najaribu kukuchokoza tu kuhusu Ze-utamu uliyoitamka, maana ni wimbo ambao ulizua wacheza ngoma za Ze-Utamu ambazo zilikuwa zinakesha sana na kisha kusitishwa kwa kukiuka maadili. Ni namna ya kuzungumza tu kwangu labda hukunipata vizuri maana wakati mwingine kutoka Dodoma niendapo Singida huwa napendelea kupitia njia ya Kwamtoro badala ya ila ya Manyoni lakini safari ni ile ile ya kufika Singida uendako Indume Yene na mimi tunakutana huko huko Singida.Huenda ni mimi niliyekuwa mtengenezaji wa blog ile Ze-Utamu na sasa najaribu kwa nguvu zangu zote siri hii isisambae kwa kujisafisha maana home kutamu na ikitoka siri haya matamu yataota mbawa, kwani nimeshaanza kuweka mizizi kwa matamanio makubwa niliyonayo hapa sweet home.

Got it.
 
I guess hao viongozi kama sio wote hawawezi kusafiri kutoka huko as hawana docs, wamekaa miaka mingi huko bado wanalowea kusubiri sijui papers gani za kuhararishwa kuishi humo.
 
- Naona somo limeeleweka so ngoja twende kwenye hoja zingine muhimu kwa taifa!!
photo-3.JPG

Willie!!
 
Unasumbuka bure kuongea na Robot, Avatar!?
Switch off the source of power.

Wewe Malicela, unataka kuendeleza ufisadi aliofanya baba yako hapa. Tunakuchukia kama ukoma. Ndo waliofanya watu wa nchi hii kuwa masikini wa kutupwa. Nyie ni vizazi vya nyoka.
 
photo-1.JPG
photo-3.JPG

Mwenyekiti wa CCM Loveness Mamuya akimkabithi kadi ya CCM, Mwenyekiti wa DIKOTA Metropolitan bwana Faraja Isingo, wa kiiwa na katibu mwenezi Benjamin mwaipaja​

photo-7.JPG

Wakifurahia kadi zao na kupeperusha bendera​

photo-9.JPG

Hawa ndio wana tawi la CCM DVM​

completely out of touch. opportunists at work.......inapotokea mtu hai akaamua kuwa mbia wa marehemu hautegemei synegy yoyote....kila lakheri ndg zangu....nawaachieni Homework ifuatayo....MAiti + Binadamu Hai = X, Tafuta thaman ya X
 
katika pita pita zanu jf niliona post inasema malicela avishwa shanga je ni kweli ????
 
completely out of touch. opportunists at work.......inapotokea mtu hai akaamua kuwa mbia wa marehemu hautegemei synegy yoyote....kila lakheri ndg zangu....nawaachieni Homework ifuatayo....MAiti + Binadamu Hai = X, Tafuta thaman ya X

CHADEMA DC WASHINGTON!!

Chadema washington dc yapata uongozi mpya




_DSC1129.JPG

Mwenyekiti mpya wa Chadema Washington Cosmas Wambura akipeana mikono ya pongezi na Katibu mpya Ndugu Isidori Lyamuya.



_DSC1127.JPG

Kutoka kushoto Katibu mpya Isidory Lyamuya, Mwenyekiti mpya Cosmas Wambura, Katibu aliyemaliza muda wake Liberatus Mwang'ombe na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Kalley Pandukizi.

****************************** ****************************** ********************
Tawi la Chadema Washington DC limepata Viongozi wapya walioshika nafasi za waliokwa Viongozi wa muda.


Katika Uchaguzi huo Cosmas Wambura amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya kuchukua nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Muda Kalley Pandukizi.



Nafasi ya Katibu imechukuliwa na Isidori Lyamuya aliyechukua nafasi ya Liberatus Mwang'ombe aliyekuwa Katibu. Nafasi ya Mweka hazina imechukuliwa na Ludigo Mhagama na nafasi ya katibu mwenezi imechukuliwa na Hussein Kauzella. Nafasi nyingine zilizogombewa ni Wenyevitina Makatibu wa Mabaraza ya Vijana, Wanawake na Wazee.



Pia kulikuwa na nafasi ya Afisa Habari wa Chama. Akiongea baada ya Uchaguzi Mwenyekiti aliyechaguliwa ndugu Cosmas Wambura amesema atatoa ushirikiano mkubwa katika kuendeleza shughuli mbalimbaliza kukijenga Chama. Pia Katibu mya amesema watashirikiana na Mwenyekiti na wanachama wengine wote kuhakikisha Chama kinzidi kuwa Imara na kupata wanachama zaidi.





_DSC1154.JPG

Baadhi ya wanachama wa Chadema walioshiriki zoezi la Uchaguzi la kupata Viongozi wapya wa Chadema Washington DC.

_DSC1160.JPG

Mzee Emmanuel Muganda pamoja na Mkewe wakiwapa mawili matatu Uongozi mpya wa Chadema Washington DC. SOURCE: Swahili Villa Blog.


Uongozi wa Tawi la Chadema Washington DC lapata uongozi mpya
Tawi la Chadema Washington DC limepata Viongozi wapya walioshika nafasi za waliokwa Viongozi wa muda.

Katika Uchaguzi huo Cosmas Wambura amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya kuchukua nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Muda Kalley Pandukizi. Nafasi ya Katibu imechukuliwa na Isidori Lyamuya aliyechukua nafasi ya Liberatus Mwang'ombe aliyekuwa Katibu.
 
Back
Top Bottom