Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Kwa muda sasa nilikuwa na simama kupata msosi katika kituo hiki cha Petroli, na kupumzika kwa ingalau nusu saa kabla ya kuendelea na safari yangu ambayo huwa marathon, Dar-Mbeya.
Kituo kina mandhri nzuri ingawaje sasa kimeanza kuchakaa kutokana na kukosa matunzo.
Mbaya zaidi ni huduma ya chakula.
Mgahawa uliopo unaendeshwa kienyeji mno, hata mama Ntilie afadhali.
Chakula baridi nilikuwa served hapo majuzi, nikiuliza kwa nini, hakuna jibu.
Wahudumu wametoka vijijini na hawajui hata namna ya kuhudumia wateja kwa haraka.
Baada ya kughairi chakula, nilienda dukani ingawaje ninunue vitafunwa vya kusindikwa-duka limefungwa!
Tumewalalamikia wale ma pump attendants na walituambia hayo malalamiko wamemjulisha mwenyewe lakini hakuna kinachoendelea.
Na kwamba inawakosesha wateja wa kujaza mafuta.
Kuanzia sasa naona nitaenda pale SAS, mbele kidogo, ilipopahama muda sasa, ingawaje wao ni vitafunwa vidogo na chai/kahawa inakuwa served.
Kituo kina mandhri nzuri ingawaje sasa kimeanza kuchakaa kutokana na kukosa matunzo.
Mbaya zaidi ni huduma ya chakula.
Mgahawa uliopo unaendeshwa kienyeji mno, hata mama Ntilie afadhali.
Chakula baridi nilikuwa served hapo majuzi, nikiuliza kwa nini, hakuna jibu.
Wahudumu wametoka vijijini na hawajui hata namna ya kuhudumia wateja kwa haraka.
Baada ya kughairi chakula, nilienda dukani ingawaje ninunue vitafunwa vya kusindikwa-duka limefungwa!
Tumewalalamikia wale ma pump attendants na walituambia hayo malalamiko wamemjulisha mwenyewe lakini hakuna kinachoendelea.
Na kwamba inawakosesha wateja wa kujaza mafuta.
Kuanzia sasa naona nitaenda pale SAS, mbele kidogo, ilipopahama muda sasa, ingawaje wao ni vitafunwa vidogo na chai/kahawa inakuwa served.