Tatu mzuka

king vana

Member
Apr 9, 2017
91
49
Jamani eeeh!!!! Jana kwenye droo ya sa 3 usiku nimeliwa pesa yangu nyingi saanaaaaaa..... Wakasema wanshughulikia mpaka sasahivi hamna kushughulikia na wamekaa kimya wakati watu tuliweka pesa zetu pale jamani.......

Serikali hii itusaidie na utapeli wa jana.... Japo nilivyoshinda droo iliofata walinipa pesa yangu.... Lakin droo namba 2524 haipo na watu tukibashiri... Jamani eeeh tunataka mwache utapeli mturudishie pesa zatuuu
Screenshot_20171030-220334.png
Screenshot_20171030-232740.png
Screenshot_20171030-232829.png
 
JUMADILI HII, nikiona neno hili najua ni matapeli tu!!. Haiwezekan kudanganya watu wazima
Yaani wamenikamata... UKISIKIA PUUUH!! Ujue imekukosa..... Alielenga hana shabaa amefanya makosa..... LAKINI JUMA PILI HII NI ZAMU YANGU KILA FWEDHA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom