king vana
Member
- Apr 9, 2017
- 91
- 49
Jamani eeeh!!!! Jana kwenye droo ya sa 3 usiku nimeliwa pesa yangu nyingi saanaaaaaa..... Wakasema wanshughulikia mpaka sasahivi hamna kushughulikia na wamekaa kimya wakati watu tuliweka pesa zetu pale jamani.......
Serikali hii itusaidie na utapeli wa jana.... Japo nilivyoshinda droo iliofata walinipa pesa yangu.... Lakin droo namba 2524 haipo na watu tukibashiri... Jamani eeeh tunataka mwache utapeli mturudishie pesa zatuuu
Serikali hii itusaidie na utapeli wa jana.... Japo nilivyoshinda droo iliofata walinipa pesa yangu.... Lakin droo namba 2524 haipo na watu tukibashiri... Jamani eeeh tunataka mwache utapeli mturudishie pesa zatuuu