mgange hussein
Senior Member
- Sep 10, 2012
- 159
- 43
Amani kwenu wana jamii Forums.
Nimeona vijana wamejichora mwilini(tatoo.)Nauliza je,zinazochorwa kwa Mashine au sindano katika mwili Zinaweza kufutika tena na kutumia dawa au kitu gani.
Nimeona vijana wamejichora mwilini(tatoo.)Nauliza je,zinazochorwa kwa Mashine au sindano katika mwili Zinaweza kufutika tena na kutumia dawa au kitu gani.