Tatoo za mnenguaji mpya wa akudo uspime

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,080
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td align="left"><table bgcolor="#dddddd" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" height="23" width="100%"><tbody><tr><td width="10">
</td> <td width="606">

</td> <td align="right" width="139">
</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
pix.gif
</td> </tr> <tr> <td class="shortnews" align="left" bgcolor="#ffffff" valign="top">
Mnenguaji mpya wa Bendi ya Akudo Impact ‘Vinara wa Masauti’, Dalia Ibumbu, mwili wake umeonekana kuwachengua baadhi ya mashabiki wa bendi hiyo kufuatia tattoo zake kuzagaa karibu kila kona ya mwili wake. Usiku wa kuamkia leo, Dalia, alionekana kuwa kivutio kikubwa kuliko wenzake katika safu nzima ya wanenguaji wa bendi hiyo katika onesho lao lililofanyika Ukumbi wa Mango Garden jijini Dar usiku wa kuamkia leo.

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->d
..Dalia in action

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
..umenicheki kwa nyuma!

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
..Pedeshee Pius Rutta ‘ Mzee wa Pamba’ akiserebuka kimwana ukumbini humo huku jasho likimtoka.

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
..mashabiki wa Akudo dam dam

HII NDIO RAHA YA USUPASTAA
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mrembo huyo (kulia) alishindwa kuvumilia na kuomba kupiga picha na Prezdaa msaidizi wa Akudo, Tarcis Masela, baada ya kumvutia.

</td></tr></tbody></table>
 
Back
Top Bottom