Mkwawa mnyalukoro
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 232
- 136
Nisaidien jamani nina tatizo la muda mrefu la mdomo kuwa na radha ya uchungu huku viungo vya mwili vikiuma nimejaribu kutumia dawa mbalimbali za typhoid, maralia, vidonda vya tumbo lakini hali hii bado inaendelea mpaka nmekata tamaa nimezunguka hospitali nyingi lkn tatizo halionekan sijui Nina tatizo gan na sijui nitumie dawa gan ili nirudi katika hali yangu ya zamani.Wataalam msaada tafadhari
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app