Wakati wenzetu wa Kenya wanatarajia kuzindua barabara mpya yaani flyovers mwishoni mwa mwaka huu na itakuwa ndio mwisho wa foleni ya magari jijini Nairobi sisi hapa Dar tunapigania kujenga barabara zisizorasmi yaani (feeder roads) ili kumaliza tatizo la msangamano wa magari .Nadiriki kusema ya kuwa ni lazima tujiulize inakuaje wenzetu wanaweza sisi tunashindwa?