Tatizo siyo kuchelewa , tatizo walishatutengenezea mazoea ya kila tarehe 22 kitu kinasoma

Hazina bhana.

Watumishi wa umma tunateseka na kuyumbishwa sana.

Mwanzoni kabisa ilikuwaga mshahara ni kati ya tarehe 29 -30. Tulizoea tukaridhika.

Baadae wakaboresha ikawa tarehe 25 lazima kitu isome.

Wakaboresha zaidi ikawa kila tarehe 22 lazima mshahara uingie. Mazoea haya ni ya muda mrefu.Na ni kwa watumishi wote wa umma.

Haya sasa :

Leo ni May 23 bilabila mpaka mchana huu wa saa 8 na robo. Kulikoni ?

Msimamo wenu uko wapi ?

Shida sana.
Hivi punde kuna habari zimeenea kuwa mtandao unasumbua ndio maana miamala haijasoma.... Amesikika mwajiriwa mmoja akimwambia mwenzake kwenye simu
 
Hazina bhana.

Watumishi wa umma tunateseka na kuyumbishwa sana.

Mwanzoni kabisa ilikuwaga mshahara ni kati ya tarehe 29 -30. Tulizoea tukaridhika.

Baadae wakaboresha ikawa tarehe 25 lazima kitu isome.

Wakaboresha zaidi ikawa kila tarehe 22 lazima mshahara uingie. Mazoea haya ni ya muda mrefu.Na ni kwa watumishi wote wa umma.

Haya sasa :

Leo ni May 23 bilabila mpaka mchana huu wa saa 8 na robo. Kulikoni ?

Msimamo wenu uko wapi ?

Shida sana.
Hakuna maboresho hapo..Hata wakiamua kukulipa trh 15 ya kila mwezi..Mzunguko ni uleule tu
 
Wakati wa kuongelea mambo ambayo ni muhimu sana lazima mtazame na mnachokiongea je, kina maana?

Unajua masuala ya mishahara ilishatolewa ufafanuzi na sasa mnachofanya baadhi yenu ni kutia doa na kuchafua tu.

Naomba tuwe na nidhamu na viongozi wakubwa wa nchi yetu hata kama tunaanzisha mada lazima tutazame je, ina umuhimu gani?

Mishahara pamoja na umuhimu wake ila sio jambo muhimu sana kuchafua watu na kuleta tarehe zenu mnazojipangia wenyewe kama ndio mnaojua siri ya mishahara ya wafanyakazi na utokaji wake.

Tuwaachie wanaojua ambao ni viongozi wakubwa kuliko kubwatuka wakati tarehe bado hazijavukwa za kutoa mishahara.

Mkumbuke mwezi wa 4 ulikuwa na "PASAKA" na angeamua Raisi kufata taratibu zake tu bila kutazama ubinadamu na umuhimu wa siku hiyo angeamua kutoa Jumanne ambayo ni tarehe 23 ama Jumatano ambayo ni tarehe 24.

Pamoja na huruma zake zote na upendo wa hali ya juu sana kwa wananchi na wafanyakazi wake alitoa pesa siku ya Ijumaa kuu na ukumbuke ilikuwa siku ya mapumziko akaamua asipumzike ila atoe pesa.

Hapo ndipo utajua Rais wetu ni mtu mwema sana na anatupenda sana watu wake. Naomba tuwe na heshima na nidhamu kwake na kwa viongozi wengine huenda tukafanikiwa sana.

Hata tukiwa tunasema ovyo hatujengi lolote.

Nawasilisha.

Ikiwa nimekukwaza naomba ujirekebishe.

Umetoka kula magarage ya wapi wewe mwenzetu! Maana ulichokiandika nimeshindwa kabisa kukielewa!🙊
 
Wakati wa kuongelea mambo ambayo ni muhimu sana lazima mtazame na mnachokiongea je, kina maana?

Unajua masuala ya mishahara ilishatolewa ufafanuzi na sasa mnachofanya baadhi yenu ni kutia doa na kuchafua tu.

Naomba tuwe na nidhamu na viongozi wakubwa wa nchi yetu hata kama tunaanzisha mada lazima tutazame je, ina umuhimu gani?

Mishahara pamoja na umuhimu wake ila sio jambo muhimu sana kuchafua watu na kuleta tarehe zenu mnazojipangia wenyewe kama ndio mnaojua siri ya mishahara ya wafanyakazi na utokaji wake.

Tuwaachie wanaojua ambao ni viongozi wakubwa kuliko kubwatuka wakati tarehe bado hazijavukwa za kutoa mishahara.

Mkumbuke mwezi wa 4 ulikuwa na "PASAKA" na angeamua Raisi kufata taratibu zake tu bila kutazama ubinadamu na umuhimu wa siku hiyo angeamua kutoa Jumanne ambayo ni tarehe 23 ama Jumatano ambayo ni tarehe 24.

Pamoja na huruma zake zote na upendo wa hali ya juu sana kwa wananchi na wafanyakazi wake alitoa pesa siku ya Ijumaa kuu na ukumbuke ilikuwa siku ya mapumziko akaamua asipumzike ila atoe pesa.

Hapo ndipo utajua Rais wetu ni mtu mwema sana na anatupenda sana watu wake. Naomba tuwe na heshima na nidhamu kwake na kwa viongozi wengine huenda tukafanikiwa sana.

Hata tukiwa tunasema ovyo hatujengi lolote.

Nawasilisha.

Ikiwa nimekukwaza naomba ujirekebishe.
Mishahara hii haina utaratbu mkuu au vp,kwani ipo under presidential office au?
 
Wakati wa kuongelea mambo ambayo ni muhimu sana lazima mtazame na mnachokiongea je, kina maana?

Unajua masuala ya mishahara ilishatolewa ufafanuzi na sasa mnachofanya baadhi yenu ni kutia doa na kuchafua tu.

Naomba tuwe na nidhamu na viongozi wakubwa wa nchi yetu hata kama tunaanzisha mada lazima tutazame je, ina umuhimu gani?

Mishahara pamoja na umuhimu wake ila sio jambo muhimu sana kuchafua watu na kuleta tarehe zenu mnazojipangia wenyewe kama ndio mnaojua siri ya mishahara ya wafanyakazi na utokaji wake.

Tuwaachie wanaojua ambao ni viongozi wakubwa kuliko kubwatuka wakati tarehe bado hazijavukwa za kutoa mishahara.

Mkumbuke mwezi wa 4 ulikuwa na "PASAKA" na angeamua Raisi kufata taratibu zake tu bila kutazama ubinadamu na umuhimu wa siku hiyo angeamua kutoa Jumanne ambayo ni tarehe 23 ama Jumatano ambayo ni tarehe 24.

Pamoja na huruma zake zote na upendo wa hali ya juu sana kwa wananchi na wafanyakazi wake alitoa pesa siku ya Ijumaa kuu na ukumbuke ilikuwa siku ya mapumziko akaamua asipumzike ila atoe pesa.

Hapo ndipo utajua Rais wetu ni mtu mwema sana na anatupenda sana watu wake. Naomba tuwe na heshima na nidhamu kwake na kwa viongozi wengine huenda tukafanikiwa sana.

Hata tukiwa tunasema ovyo hatujengi lolote.

Nawasilisha.

Ikiwa nimekukwaza naomba ujirekebishe.
Duh mkuu sijaona mleta mada akimchafua kiongozi yoyote hapa mbona.?

Hivi watu wengine mnavuta bange au ndiyo akili za kuzaliwa zipo hivyo.???

All in all MAGU kawabeba sana wafanyakazi pasaka...
 
Wakati wa kuongelea mambo ambayo ni muhimu sana lazima mtazame na mnachokiongea je, kina maana?

Unajua masuala ya mishahara ilishatolewa ufafanuzi na sasa mnachofanya baadhi yenu ni kutia doa na kuchafua tu.

Naomba tuwe na nidhamu na viongozi wakubwa wa nchi yetu hata kama tunaanzisha mada lazima tutazame je, ina umuhimu gani?

Mishahara pamoja na umuhimu wake ila sio jambo muhimu sana kuchafua watu na kuleta tarehe zenu mnazojipangia wenyewe kama ndio mnaojua siri ya mishahara ya wafanyakazi na utokaji wake.

Tuwaachie wanaojua ambao ni viongozi wakubwa kuliko kubwatuka wakati tarehe bado hazijavukwa za kutoa mishahara.

Mkumbuke mwezi wa 4 ulikuwa na "PASAKA" na angeamua Raisi kufata taratibu zake tu bila kutazama ubinadamu na umuhimu wa siku hiyo angeamua kutoa Jumanne ambayo ni tarehe 23 ama Jumatano ambayo ni tarehe 24.

Pamoja na huruma zake zote na upendo wa hali ya juu sana kwa wananchi na wafanyakazi wake alitoa pesa siku ya Ijumaa kuu na ukumbuke ilikuwa siku ya mapumziko akaamua asipumzike ila atoe pesa.

Hapo ndipo utajua Rais wetu ni mtu mwema sana na anatupenda sana watu wake. Naomba tuwe na heshima na nidhamu kwake na kwa viongozi wengine huenda tukafanikiwa sana.

Hata tukiwa tunasema ovyo hatujengi lolote.

Nawasilisha.

Ikiwa nimekukwaza naomba ujirekebishe.
Na yeye awe na adabu kwa watu wake ndipo tutamheshimu.
 
Wakati wa kuongelea mambo ambayo ni muhimu sana lazima mtazame na mnachokiongea je, kina maana?

Unajua masuala ya mishahara ilishatolewa ufafanuzi na sasa mnachofanya baadhi yenu ni kutia doa na kuchafua tu.

Naomba tuwe na nidhamu na viongozi wakubwa wa nchi yetu hata kama tunaanzisha mada lazima tutazame je, ina umuhimu gani?

Mishahara pamoja na umuhimu wake ila sio jambo muhimu sana kuchafua watu na kuleta tarehe zenu mnazojipangia wenyewe kama ndio mnaojua siri ya mishahara ya wafanyakazi na utokaji wake.

Tuwaachie wanaojua ambao ni viongozi wakubwa kuliko kubwatuka wakati tarehe bado hazijavukwa za kutoa mishahara.

Mkumbuke mwezi wa 4 ulikuwa na "PASAKA" na angeamua Raisi kufata taratibu zake tu bila kutazama ubinadamu na umuhimu wa siku hiyo angeamua kutoa Jumanne ambayo ni tarehe 23 ama Jumatano ambayo ni tarehe 24.

Pamoja na huruma zake zote na upendo wa hali ya juu sana kwa wananchi na wafanyakazi wake alitoa pesa siku ya Ijumaa kuu na ukumbuke ilikuwa siku ya mapumziko akaamua asipumzike ila atoe pesa.

Hapo ndipo utajua Rais wetu ni mtu mwema sana na anatupenda sana watu wake. Naomba tuwe na heshima na nidhamu kwake na kwa viongozi wengine huenda tukafanikiwa sana.

Hata tukiwa tunasema ovyo hatujengi lolote.

Nawasilisha.

Ikiwa nimekukwaza naomba ujirekebishe.
Mkubwa haya kweli yametoka moyoni kwako?

1. Rais analipa mishahara personally kwamba eti ijumaa kuu hakupumzika alikuwa analipa mishahara?

2. Wapi mtoa mada kataja kumchafua mtu?

3. Kwann unachukulia malalamiko ya mtoa mada too personal kwa Rais?

4. Unaposema mshahara pamoja na umuhimu wake ila sio jambo muhimu Sana una uhakika?
 
Hazina bhana.

Watumishi wa umma tunateseka na kuyumbishwa sana.

Mwanzoni kabisa ilikuwaga mshahara ni kati ya tarehe 29 -30. Tulizoea tukaridhika.

Baadae wakaboresha ikawa tarehe 25 lazima kitu isome.

Wakaboresha zaidi ikawa kila tarehe 22 lazima mshahara uingie. Mazoea haya ni ya muda mrefu.Na ni kwa watumishi wote wa umma.

Haya sasa :

Leo ni May 23 bilabila mpaka mchana huu wa saa 8 na robo. Kulikoni ?

Msimamo wenu uko wapi ?

Shida sana.
kuna mahusiano makubwa kati ya kuwahi kwa mshahara na tarehe za kupiga kura 2015 mshahara ulitoka kabla ya siku ya kuchinja1
 
Back
Top Bottom