#COVID19 Tatizo sio chanjo ya COVID19! Tatizo chanjo imekuja kipindi cha utandawazi kila mtu ana smartphone kila mtu mjuaji

Status
Not open for further replies.

renamaizo

JF-Expert Member
Oct 17, 2014
2,118
3,001
Habari wadau,

Leo nimeamua kuingia kwenye hii fani ya udaktari ili nami niweke neno kaa hapa chin basi uongeze maarifa. Ok nadhan kila mtu anajua kwa sasa kuna vuguvugu la chanjo dunia mzima tena mbaya zaid chanjo imekuja kipind ambacho kila mtu anamtizama mwenzake kwa jicho la mnafiki kuna nchi huko juu zishachambana sana yaan ni harufu ya hatar hatar China alishamchamba sn US, US nae alishamchamba sn URUSI, UK ilishajitoa EU kupitia Brexit na kule juu kiduku bado anatengeneza makombora huko iran nao wana machungu baadhi ya kamanda wao tegemezi wa jesh kupigwa KO kupitia drone uko uarabuni ndio sitak kusogea kabisa ni harufu ya damu damu tu Israel, Syria, Pakistan hawa kila siku ni vurugu mataifa makubwa yameamua kuoneshana ubabe kwamba nan anamiliki dunia na dunia imebakina sitomfahamu.

Obama aliwahi kunukuliwa akisema africa wasipokee chanjo kutoka Europe sababu zina madhara na akaweka waz yeye ni muafrika ndan ya damu Donald Trump naye ametolewa madarakan huku biden akimrith na kuingia ikulu kwa mbwembwe kule Urusi ni maandamano kumpinga putin yaan naweza kusema dunia kwa sasa imevurugwa haina utulivu hata kidogo.

Shirika la afya dunian WHO nae anaonekana hamna kitu ni bure kabisa na mdo maana US aligoma kuweka msaada pale maana alishajua palewale ni wachumia tumbo yaani ni mitusi kila kona wazungu wanatupa mitus kwa waafrika na waafrika wanarusha mitusi apo kila mmoja amekaa chemba anamchezea mwenzie timing ili amuoneahe kwamba mm ndio mm tena afrika siku hz kuna viongpz wabish na MUCH KNOW tumeona pale uganda kwa ndugu museven anavyowazungusha waganda km mbpga

Yote 9 ,kumi kuna chanjo nying huyu kajenga hii yule kajenga ile hz ziende afrika hz ziende ulaya hz ziende iran zile ziende japan hz zitatestiwa kenya na zile zitapimwa pale chato

Kila mmoja anamchek mwenzie kwa jocho kali mnakumbuka madagascar alivyptipiga changa la macho na rais akatuma ndege fasta ikachukue dawa huko na mzee kabudi akaitest live mbele ya camera sijui ata ilishia wap ile iasue zaid nachokumbuka tu prof kabid kuna kipimd alilazwa sikujua nn kilimpata labda ni ile ile dawa ilimtimba wakaogopa kusema kukwepa aibu

Hii ni zaid ya vita barid mataifa makubwa hayaelewan mashirika makubwa hayaelewan na sisi km afrika tumuamin nan mchina au US kila mtu ana smart phone anafuatilia huu mtanange mkali tena adimu hii ni zaid ya bomu la nuclear na anaeleta choko choko basi anaenda na maji tena nimshaur kabisa mzee kiduku kule korea usije kugusa hii chanjo maana ww ndio mti hatar zaid kwa dunia ya sasa kila mtu amebak na bumbuwazi.

Iko hv nakubal kabisa hii sio chanjp ya kwanza kutolewa kuna chanjo km pepopunda,polio,nk ukiangalia kwenye bega lako utaona alama ya kovu ni chanjo ulipigwa ukiw mdogo ili kukukinga dhidi ya magonjwa 9 hatar zaid dunian ha hii corona wataingiza humo iwe ya 10 na kila atakae zaliwa atapigwa io chanjo maabara zetu afrika no bull shit ndio maana ata kipimdi sekeseke linaanza hakuna sampuki ya chanjo ilitengenezwa hapa je watewezaje kutesy chanjo .

Utajiuliza swal mbona zaman ikiwezekana kwann sasa inaleta shida iko hv zaman hakukuwa na utandawaz hata habar za fidel castro tulikuwa tunazipata kwa mbal jamaa alishawatukana sn US na kwenye vikao UN ashaenda sn tu anaingia mule na msigara wake waandish wa habar wanamuhoji unajiamin nn ww umevaa bullet proof akavua na shati jamaa aliisumbua US usipime achilia mbal huyu kiduku ambae ni mwongo kwenda ata kwenye vikao vya UN lkn kila mtu anamjua saizi kila mtu ni mjuaj humu kila mtu ni MUCH KNOW kila mtu ana smart phone kila ntu anaweka tu mawazo yake.

Chezea dunia ya sasa wewe watu wamepinda zaman enzi hzo simu chache internet mpaka uingie kibanda umiza tena unahesabiwa na saa na ninavosikia kuna mtandao ulikuwa unaweka Mitihan ya NECTA watoto wa kishua wanaipekua fasta na kuifanya akijua kesho kabisa hili ndip PEPA thubutu sasa hv uone hata Mwl Nyerere angechemka watu mtandaon wanatukana eeh sijapata kuona zaman habar km hz zilikuwa zinafika ikulu tu kisha wanakaa mawazir na kusain mkataba kisha chanjo kutolewa wananch mnatangaziwa tu kesho asubuh chanjo na wanapanga folen hawajui chanjo imetokea wap kaitengeneza nan na ni ya nn wao wanatii na kupanga folen thubutu sasa hv wewe uone.

Namalizia kwa kusema Chanjo ya COVID 19 bado ni utata bado ni mapema sn kuikubal tusubir tuone mbal na hapo hiatpria itaandikwa tena tena ni zaid ya ile ya NAGASAK na HEROSHIMA little boy nuclear bomb lilipofanya yake na siku hiohio japan alijitoa kwenye vita na UN ilipiga marufuku ilo bomu lisitumike na halikuwah kutumika tena zaid yametengenezwa makubwa zaid ya lile kutishiana tu !!! Na hz silaha za kibailogia ni salaha mpya japan tiyar huko kashatengeneza hybrid ya bi nadamu nguruwe anasubir tu achokozwe nae aoneshe kwamba yumo dunia itashuhidia mtanange ambao haujawah kutokea TIME WILL TELL.

SIsi sio tishio kwao but please dont accept this vaccine obama yupo well informed kuliko ww.
 
Changamoto nyingine iliyopo ni jinsi ya kuhifadhi na kusafirisha chanjo zimfikie mtumiaji katika ubora. Pfizer chanjo yao inahitaji kuwa katika freezing temperature -80C and-60C mpaka inatumika. Maana yake kuisafirisha katika nchi zinazoendelea gharama itaongezeka.
 
Nadharia za WASABATO MASALIA!!!
kwanza hizi chanjo za covid 19 ki utaratibu wa majaribio ya chanjo , wangesema waufuate hata huu mwaka, ungeisha bila kuanza kuitumia kwa mwanadamu. Lakini kuna taratibu nyingine zimerukwa kutokana na uharaka wake ili itumike.

Lakini sio kama inavyochukuliwa wakati wa chanjo ya ebola huko DRC, ilipoanza kutumika watu kama nyie walikuwa wengi. Kuna siku moja gari la madaktari wasio na mipaka lilikuwa limebeba chanjo hizo, likavamiwa na kuchomwa moto, eti wazungu wanewaletea chanjo za kuwaua!!leo hii unaisikia tena ebola kongo? Kwani si tuna wasomi chungu mzima Africa, kwanini hao wanasiasa, wasiwape pesa za kufanya tafiti hizo?japo najua uwezo huo hatuna, wakifedha na kitaalamu.
 
Changamoto nyingine iliyopo ni jinsi ya kuhifadhi na kusafirisha chanjo zimfikie mtumiaji katika ubora. Pfizer chanjo yao inahitaji kuwa katika freezing temperature -80C and-60C mpaka inatumika. Maana yake kuisafirisha katika nchi zinazoendelea gharama itaongezeka.
Sawa hilo liko wazi, lakini kinachosikitisha sasa wajuaji(Waafrika)ndio wanaibuka na nadharia yao. Mala ohhh, wanataka kutuangamiza, sasa huu ugonjwa umeanza wote tunauona, wenzetu wameumiza vichwa na kutumia pesa nyingi, kufanya tafiti, hadi wamefikia hapo.

Sisi tuliwekeza kwa kina kalimanzira, (nyungu)hakuna kitu tangible tulichokuja nacho, wenzetu wamekuja na kitu, inakuwa nongwa! Tena unakuta hao wanotia wenzao ujinga, ukute walishaipata mapema!!mzungu akutafute kweli utachomokea wapi wewe mwafrika kwenye afya?!!!
 
Israel 75% ya raia wamepata chanjo ya Pfizer na wanasema takwimu zinaonyesha maambukizi na vifo vya wazee na wenye kisukari yamepungua sana.
Lakini Israel hawana kirusi cha SA, wao wanahangaika na SARS-CoV-2. Mpaka sasa hakuna chanjo inayosaidia kujikinga na kirusi cha SA. Hata kampuni zenyewe wanakiri hawana uhakika kama chanjo zao zinaweza kuthibiti mlipuko wa virusi vya SA.
 
Lakini Israel hawana kirusi cha SA, wao wanahangaika na SARS-CoV-2. Mpaka sasa hakuna chanjo inayosaidia kujikinga na kirusi cha SA. Hata kampuni zenyewe wanakiri hawana uhakika kama chanjo zao zinaweza kuthibiti mlipuko wa virusi vya SA.
Haya yote ni smart phone tu !!! Much know mko vzr
 
Hata mzungu pia huwa anakosea !! So dont think he ia second GOD he is still human being
 
Uwezo wa kuitest io chanjo kimaabaea hatuna labda wachuliwe watu km sample
 
Changamoto nyingine iliyopo ni jinsi ya kuhifadhi na kusafirisha chanjo zimfikie mtumiaji katika ubora. Pfizer chanjo yao inahitaji kuwa katika freezing temperature -80C and-60C mpaka inatumika. Maana yake kuisafirisha katika nchi zinazoendelea gharama itaongezeka.
Hawawezi kutupa fomular tukatengeneza hapa hapa? Sky Eclat
 
5395ae2b-4388-4549-a22a-3c1c6f1b70e4.jpg
 
Status
Not open for further replies.
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom