Tatizo sikukariri number yake.....!.!.!

SURN

JF-Expert Member
Sep 5, 2011
319
36
kuna dada mmoja alikuwa na mchumba wake ambaye walipendana sana but becuase ya tamaa zao wote wawili kilitokea hiki kifuatacho:.............................:walitaka kusalitiana lakn hakuna hata mmoja ambaye alikuwa anajua kuwa mwezake anataka kumsaliti.but one day huyu dada alikuwa anasikiliza kipindi cha mahaba redion gafra akasikia kuna kijana mmoja anatafuta mchumba na namba yake ya simu ikatajwa(number ya huyo kijana).yule dada kwakuwa alikuwa analengo la kumsaliti mchumba wake wa kwanza bas aliamua kuinote ile number.basi siku aliamua kuwasiliana na yule kaka ili waingie ktk MAPENZI kwa bahati mbaya au nzuri walikubaliana vzr kuwa wapenz kwa mawasiliano tu bila kuonana.basi walipanga waonane sehemu furani ili wayadumishe mapenz yao vzr maana inaonekana mapenz yao yaliwaka moto kwa mawasiliano tu-................!KICHEKESHO SIKU YA KUONANA!kila mmoja alijiandaa vrz ili akamuone mpenzi wake mpya jins alivyo.DU SIKU YAKUONANA KUMBE WALIKUWA WAPENZ TOKA MDA BILA KUJUA(Walitongozana mara ya pili)
 
kuna dada mmoja alikuwa na mchumba wake ambaye walipendana sana but becuase ya tamaa zao wote wawili kilitokea hiki kifuatacho:.............................:walitaka kusalitiana lakn hakuna hata mmoja ambaye alikuwa anajua kuwa mwezake anataka kumsaliti.but one day huyu dada alikuwa anasikiliza kipindi cha mahaba redion gafra akasikia kuna kijana mmoja anatafuta mchumba na namba yake ya simu ikatajwa(number ya huyo kijana).yule dada kwakuwa alikuwa analengo la kumsaliti mchumba wake wa kwanza bas aliamua kuinote ile number.basi siku aliamua kuwasiliana na yule kaka ili waingie ktk MAPENZI kwa bahati mbaya au nzuri walikubaliana vzr kuwa wapenz kwa mawasiliano tu bila kuonana.basi walipanga waonane sehemu furani ili wayadumishe mapenz yao vzr maana inaonekana mapenz yao yaliwaka moto kwa mawasiliano tu-................!KICHEKESHO SIKU YA KUONANA!kila mmoja alijiandaa vrz ili akamuone mpenzi wake mpya jins alivyo.DU SIKU YAKUONANA KUMBE WALIKUWA WAPENZ TOKA MDA BILA KUJUA(Walitongozana mara ya pili)

waliwasiliana kwa namba zipi_maake navyojua mm namba ya mchumba/mpnz wako ni lazima utakua umeisev,sasa akikupigia au kutuma sms itadisplay id au jina lake,.....acha kuleta hadithi za kumbi na kumbinga mkuu,...bora ungempelekea kanumba hii story ili aicheze filamu
 
waliwasiliana kwa namba zipi_maake navyojua mm namba ya mchumba/mpnz wako ni lazima utakua umeisev,sasa akikupigia au kutuma sms itadisplay id au jina lake,.....acha kuleta hadithi za kumbi na kumbinga mkuu,...bora ungempelekea kanumba hii story ili aicheze filamu
<br /> <br / think twice simu zipo nyingi
 
waliwasiliana kwa namba zipi_maake navyojua mm namba ya mchumba/mpnz wako ni lazima utakua umeisev,sasa akikupigia au kutuma sms itadisplay id au jina lake,.....acha kuleta hadithi za kumbi na kumbinga mkuu,...bora ungempelekea kanumba hii story ili aicheze filamu
<br />
<br />
hahahaha! Si ndio hapo. Hata sauti wangejua.
 
Yaaan Uliivyoiset utadhani kweli...kwa hiyo unataka kusema wameiba mfuko huu wakaweka mfuko ule...
 
Mmh! Uchumba gani huo usio na mawasiano? Ungejua hata ungesema akanunua line mpya kwa mawasiliano tofauti na ile ya mwanzo!
 
kuna dada mmoja alikuwa na mchumba wake ambaye walipendana sana but becuase ya tamaa zao wote wawili kilitokea hiki kifuatacho:.............................:walitaka kusalitiana lakn hakuna hata mmoja ambaye alikuwa anajua kuwa mwezake anataka kumsaliti.but one day huyu dada alikuwa anasikiliza kipindi cha mahaba redion gafra akasikia kuna kijana mmoja anatafuta mchumba na namba yake ya simu ikatajwa(number ya huyo kijana).yule dada kwakuwa alikuwa analengo la kumsaliti mchumba wake wa kwanza bas aliamua kuinote ile number.basi siku aliamua kuwasiliana na yule kaka ili waingie ktk MAPENZI kwa bahati mbaya au nzuri walikubaliana vzr kuwa wapenz kwa mawasiliano tu bila kuonana.basi walipanga waonane sehemu furani ili wayadumishe mapenz yao vzr maana inaonekana mapenz yao yaliwaka moto kwa mawasiliano tu-................!KICHEKESHO SIKU YA KUONANA!kila mmoja alijiandaa vrz ili akamuone mpenzi wake mpya jins alivyo.DU SIKU YAKUONANA KUMBE WALIKUWA WAPENZ TOKA MDA BILA KUJUA(Walitongozana mara ya pili)
Story yako ipeleke gazeti la ijumaa upate pesa.
 
Hizi ni story ya kitoto zaidi, nafkir umr wako si km wa wana jf wengine, bas kama ww ni mkubwa ni Magamba in origin
 
Uje teena shangazi uje teeena shangazi njoo karibu njoo karibuuuuuuuuuuuuuu.......................................
 
kuna dada mmoja alikuwa na mchumba wake ambaye walipendana sana but becuase ya tamaa zao wote wawili kilitokea hiki kifuatacho:.............................:walitaka kusalitiana lakn hakuna hata mmoja ambaye alikuwa anajua kuwa mwezake anataka kumsaliti.but one day huyu dada alikuwa anasikiliza kipindi cha mahaba redion gafra akasikia kuna kijana mmoja anatafuta mchumba na namba yake ya simu ikatajwa(number ya huyo kijana).yule dada kwakuwa alikuwa analengo la kumsaliti mchumba wake wa kwanza bas aliamua kuinote ile number.basi siku aliamua kuwasiliana na yule kaka ili waingie ktk mapenzi kwa bahati mbaya au nzuri walikubaliana vzr kuwa wapenz kwa mawasiliano tu bila kuonana.basi walipanga waonane sehemu furani ili wayadumishe mapenz yao vzr maana inaonekana mapenz yao yaliwaka moto kwa mawasiliano tu-................!kichekesho siku ya kuonana!kila mmoja alijiandaa vrz ili akamuone mpenzi wake mpya jins alivyo.du siku yakuonana kumbe walikuwa wapenz toka mda bila kujua(walitongozana mara ya pili)



huu ni uongo usio enda shule, unadanganya watu wazima bwana na wenye akili zao,
kwani namba zao hawazijui? Kama mmoja alidanganya namba je wa pili hakuweza kugundua
namba ya mwenzake,
sio hilo tu hata sauti hawajuani kweli?
Acha uongo wa kitoto.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom