Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Kila mwenye "nafasi" anataka kijana wake "awekwe" kwenye system... ndio maana hatushangai "mivujo ya siri-kali" ikitapakaa mitaani... maana inajadiliwa kama familia majumbani!!!Tatizo ni wanaofanya vetting, hiyo idara imevamiwa na watu wasio na nia njema na nchi hii.
TUNA SAFARI NDEFU...