nimetambua kwa wazo la keki ndogo lakini tambua taifa letu si nchi yenye keki ndogo kwani tuna rasilimali nyingi , hivyo ni taifa lenye keki kubwa hivyo tugawane vipande vikubwa vikubwaSuala hapa ni kuwa keki yetu ni ndogo. Kwa sasa ni kwa nini nwachache wapate pande kubwa huku wengine hwajui hata siku itaisha vipi?
Zitto anatafuta tu umaarufu sidhani kama anamini.anachokiongea