Tatizo si posho, Tatizo ni wakwepa kodi wakubwa na taifa kutonufaika na rasilimali zetu (Zitto)

Godwine

JF-Expert Member
Jan 15, 2010
1,371
281
Nimeona maneno ya zitto kabwe ya kupingana na posho, mimi natambua anamtazamo na mawazo yanayoweza kutofautiana na mimi au na watu wengine kwani huo ndio uhuru wa kufikiri.

Tanzania si taifa la kupambana vita kwenye posho za wafanyakazi wake, bali ni taifa linalotakiwa kufanya mapambano katika kudhibiti wakwepa kodi kwenye sekta ya madini na wengine kama wahindi wanaotumia maduka ya jeshi kukwepakodi kubwa sana.

kuwa mfanyakazi wa tanzania si kwamba ulipwe mafao dhaifu, na wafanyakazi wengine kama walimu wakipunjwa mishahara basi ni lazima watu wote wapunjwe mishahara na posho. nadhani ningemuelewa zitto kama angepigania kwanza wafanyakazi wengine kama walimu wapate posho na mishahara mikubwa na kuimiza ukusanyaji wa kodi na taifa kunufaika na rasilimali zetu.
 
mapambano ya posho sasa ndio mwanzo na tunatarajia taifa kutikisika kwa mambo mengi
 
Nimeona maneno ya zitto kabwe ya kupingana na posho, mimi natambua anamtazamo na mawazo yanayoweza kutofautiana na mimi au na watu wengine kwani huo ndio uhuru wa kufikiri.

Tanzania si taifa la kupambana vita kwenye posho za wafanyakazi wake, bali ni taifa linalotakiwa kufanya mapambano katika kudhibiti wakwepa kodi kwenye sekta ya madini na wengine kama wahindi wanaotumia maduka ya jeshi kukwepakodi kubwa sana.

kuwa mfanyakazi wa tanzania si kwamba ulipwe mafao dhaifu, na wafanyakazi wengine kama walimu wakipunjwa mishahara basi ni lazima watu wote wapunjwe mishahara na posho. nadhani ningemuelewa zitto kama angepigania kwanza wafanyakazi wengine kama walimu wapate posho na mishahara mikubwa na kuimiza ukusanyaji wa kodi na taifa kunufaika na rasilimali zetu.
Tatizo ni Posho yenyewe.. Posho haizalishi na kwa nchi maskini kukata matumizi ndilo jambo la kwanza kabisa maana Posho ni sawa na anasa tu haina uzalishaji. Walipwe watu mishahara ambayo inajumuisha kazi zote za mwajiriwa ikiwa ni pamoja na vikao maana nijuavyo mimi mshahara wa Mfanyakazi unalipwa kwa mwezi (8hrs/fivedays a week/monthly) na muda wote vinapofanyika vikao hivi huyo mfanyakazi huwa hafiki kazini lakini hulipwa mshahara mzima hata kwa siku ambazo hakuwepo kazini akiwa ktk mikutano inayolipwa posho.. Haya ni malipo mara mbili..
 
Tatizo ni Posho yenyewe.. Posho haizalishi na kwa nchi maskini kukata matumizi ndilo jambo la kwanza kabisa maana Posho ni sawa na anasa tu haina uzalishaji. Walipwe watu mishahara ambayo inajumuisha kazi zote za mwajiriwa ikiwa ni pamoja na vikao maana nijuavyo mimi mshahara wa Mfanyakazi unalipwa kwa mwezi (8hrs/fivedays a week/monthly) na muda wote vinapofanyika vikao hivi huyo mfanyakazi huwa hafiki kazini lakini hulipwa mshahara mzima hata kwa siku ambazo hakuwepo kazini akiwa ktk mikutano inayolipwa posho.. Haya ni malipo mara mbili..

huwezi kujumuisha posho zote kwenye mishahara kwa mfano je unaweza kuzijumuisha posho za safari na zile za nje ya kituo cha kazi kwenye mshahara?
 
si lazima pesa yote ya kodi ilipe mishara la nchi ni masikini sana tunapaswa tujinyime ili tupate pesa kwa aajili maendeleo mtumishi alipwe mshara wa kumtosha na fedha ya kujikimu kama kuna ulazima na siyo posho ya VIKAO huu ni wizi wa mchana

Hata kama utakusanya kodi kiasi gani kama zitaishia kwenye posho naona haina maana - tunahitaji maendeleo mkuu
 
Mkuu Mh.Zitto nadhan ameanza kwa kupinga hizo posho ikiwa ni hatua ya mwanzo kuelekea kufungua njia ya kuwabana wakwepa kodi wakubwa. Kumbuka hili la posho bado linasuasua na bado linahitaji mwitikio wa pamoja kutoka kwa wanasiasa, wanaharakati+wananchi kwa pamoja..
Tusubiri tuone hatma ya hili la posho na mafanikio ya hili ndo mwanzo wa kuibua uozo mwingine.
Nawasilisha!
 
Nimeona maneno ya zitto kabwe ya kupingana na posho, mimi natambua anamtazamo na mawazo yanayoweza kutofautiana na mimi au na watu wengine kwani huo ndio uhuru wa kufikiri.

Tanzania si taifa la kupambana vita kwenye posho za wafanyakazi wake, bali ni taifa linalotakiwa kufanya mapambano katika kudhibiti wakwepa kodi kwenye sekta ya madini na wengine kama wahindi wanaotumia maduka ya jeshi kukwepakodi kubwa sana.

kuwa mfanyakazi wa tanzania si kwamba ulipwe mafao dhaifu, na wafanyakazi wengine kama walimu wakipunjwa mishahara basi ni lazima watu wote wapunjwe mishahara na posho. nadhani ningemuelewa zitto kama angepigania kwanza wafanyakazi wengine kama walimu wapate posho na mishahara mikubwa na kuimiza ukusanyaji wa kodi na taifa kunufaika na rasilimali zetu.

sawa kabisa G tz kuna tatizo zaidi ya posho ya wabunge. Mimi ni ticha wa primary huwa kinaniuma sana tunavyotaniwa na ze komed eti kichwa kama mwl wa pr. Hii yote c kwa7bu ya kipato cha chini
 
Nimeona maneno ya zitto kabwe ya kupingana na posho, mimi natambua anamtazamo na mawazo yanayoweza kutofautiana na mimi au na watu wengine kwani huo ndio uhuru wa kufikiri.

Tanzania si taifa la kupambana vita kwenye posho za wafanyakazi wake, bali ni taifa linalotakiwa kufanya mapambano katika kudhibiti wakwepa kodi kwenye sekta ya madini na wengine kama wahindi wanaotumia maduka ya jeshi kukwepakodi kubwa sana.

kuwa mfanyakazi wa tanzania si kwamba ulipwe mafao dhaifu, na wafanyakazi wengine kama walimu wakipunjwa mishahara basi ni lazima watu wote wapunjwe mishahara na posho. nadhani ningemuelewa zitto kama angepigania kwanza wafanyakazi wengine kama walimu wapate posho na mishahara mikubwa na kuimiza ukusanyaji wa kodi na taifa kunufaika na rasilimali zetu.
Na wananchi wajiulize kama uwakilishi wa aina hii una manufaa kwao, na kama hauna kwanini tuendelee kuwa nao. We can do better without these thieves.
 
Nimeona maneno ya zitto kabwe ya kupingana na posho, mimi natambua anamtazamo na mawazo yanayoweza kutofautiana na mimi au na watu wengine kwani huo ndio uhuru wa kufikiri.

Tanzania si taifa la kupambana vita kwenye posho za wafanyakazi wake, bali ni taifa linalotakiwa kufanya mapambano katika kudhibiti wakwepa kodi kwenye sekta ya madini na wengine kama wahindi wanaotumia maduka ya jeshi kukwepakodi kubwa sana.

kuwa mfanyakazi wa tanzania si kwamba ulipwe mafao dhaifu, na wafanyakazi wengine kama walimu wakipunjwa mishahara basi ni lazima watu wote wapunjwe mishahara na posho. nadhani ningemuelewa zitto kama angepigania kwanza wafanyakazi wengine kama walimu wapate posho na mishahara mikubwa na kuimiza ukusanyaji wa kodi na taifa kunufaika na rasilimali zetu.

tatizo in posho... hili halina mjadala.

Kukwepa kodi kwenye madini na kwingineko nalo ni tatizo.. tena kubwa sana

Kwa bahati mbaya unataka tusahau kuwa posho ni tatizo na tuhamie la madini na makampuni hatukubali -- POSHO ni tatizo kwani hata kodi za migodi zikilipwa hatutakubali wazifaidi wachache kupitia posho

POSHO NI TATIZO KUBWA SANA VIPOFU TU KAMA VIONGOZI WETU NDIYO HAWALIONI
 
huwezi kujumuisha posho zote kwenye mishahara kwa mfano je unaweza kuzijumuisha posho za safari na zile za nje ya kituo cha kazi kwenye mshahara?
Huwezi kuzijumuisha na kuna sababu ya kutofanya hivyo. Mtu anaposafiri kikazi fedha anazolipwa haziendi mfukoni mwake bali analipia usafari, malazi hotelini, chakula n.k..hivyo haziingii ktk mfuko wake ikiwa ni ongezeko la pato, na anaporudi kutoka safari hukabidhi stakabadhi za matumizi hayo kisha zinawekwa ktk kifungu chake cha matumizi kimahesabu na sio fungu la Posho.. Kwa hiyo jua kwanza tunazungumzia kitu gani?
 
Mwambie mwalimu wa shule za msingi, sekondari na vyuoni, vya serikal, kuwa wabunge walipwe hayo mafao ya wizi, wakati wao kupokea tu laki 2 kwa mwezi ni kazi!
Sijui mnatetea nini hili swala la ongezeka la posho na iliokuwepo, bila kutazama majority!
Tuna matatizo mengi, ukusanyaji wa kodi, malipo ya TANESCO na DAWASCO/DAWASA, malipo kwa huduma za TTCL n.k.
hata tukikusanya kodi zote hizo na malipo yote ya huduma, hii haiwapi wabunge haki ya kupokea maposho hovyo hovyo tu!
FIKIRI!i
 
Nimeona maneno ya zitto kabwe ya kupingana na posho, mimi natambua anamtazamo na mawazo yanayoweza kutofautiana na mimi au na watu wengine kwani huo ndio uhuru wa kufikiri.

Tanzania si taifa la kupambana vita kwenye posho za wafanyakazi wake, bali ni taifa linalotakiwa kufanya mapambano katika kudhibiti wakwepa kodi kwenye sekta ya madini na wengine kama wahindi wanaotumia maduka ya jeshi kukwepakodi kubwa sana.

kuwa mfanyakazi wa tanzania si kwamba ulipwe mafao dhaifu, na wafanyakazi wengine kama walimu wakipunjwa mishahara basi ni lazima watu wote wapunjwe mishahara na posho. nadhani ningemuelewa zitto kama angepigania kwanza wafanyakazi wengine kama walimu wapate posho na mishahara mikubwa na kuimiza ukusanyaji wa kodi na taifa kunufaika na rasilimali zetu.


Sio kwamba watu wanapenda waone watumishi wa umma hawana mafao ya kutosha Tatizo haya mafao yanvyotolewa hayaaangali mambo kama:-

  • Umuhimu wa kazi- Kwa nini mbunge amzidi RPC, Afisa Kilimo, Mifugo, Afya wa mkoa. Ni kazi gani ya umma ni muhumu Tatazame mifano USA, UK, na nchi zilizondelea. matoeo yake watu wanaacha hata kazi vyuo vikuu wanakwenda kuwa wabunge badala ya kufanya kazi za profeefsion zao kwenye mikoa na wilaya.
  • Ukubwa wa kazi- Ukijumlisha na umuhimu wa kazi, watendaji wa afya,elimu, kilimo mikoani na hat wilayani eneo wanalotakiwa kuwajibika ni kubwa zaidi ya wabunge lakini hawana resources.
  • Wapi tunawekeza - Kwa nini Siasa iwe ni kazi inavyvutia kuliko kazi za utendaji. Kwa nini mtu afikirie kusaidia jamiii kwa kuwa mbunge na sio kwa kazi kama ya RPC, afisa elimu, afya, bishara, mhandisi, maji, etc Kwa nini mbunge(mwanasiasa) ndio awe best paid public employee mkoani na sio mtendaji
Tusidanganyanye wanasiasa wao wanajiongezea mishahara wakidhani wao ndio muhimu sana. Tunajenga kizazi cha wanasiasa badala ya watendaji. Hawa hawa wansiasa huwasikii wakiomba watendaji wanoshughulikia hasa maendeleo waongezewe uwezo hata kuwazidi.

Hivi mbunge atamlauu vipi afisa elimu wa mkoa wakati hata yeye(mbunge) anajua afisa elimu hajawezeshwa kama wewe.
  • Je anayetakiwa kuleta mabadiliko ya kweli kwenye jamii ni huyu mbunge au ni watu ama maafisa elimu, faya, kilimo
Kwa hiyo ziitto aelewe suala sio mafao dhhaifu dhaifuaifu suaa ni kazi gani zinapewa Priority??? Kazi gani za umma zinatakiwa kuito Tanzanai kwenye umasikini? Wanasiasa wanajiona wao wanataiwa kuwa juu ya wengine. Wafanaye uchunguzi wabunge wa huko majuu na walinganishe mapato yao na watendaji wengine waone.

NB
90 % ya matatizoyetu yamesababishwa na kuchangiwa na siasa. Lakini sio hata 15% ya matatizo yetu yatatuliwa na wanasiasa au kisiasa.
Kama ni ajira za vijana watangaze kazi za mikataba miaka mitano mitano kwenye kilimo, faya elimu mikoani na wilayani. Na malipo yawazidi wabunge. matokeo watayaona hata bila kuongezza idadi ya majimbo
 
suluhu ni kuwe na sheria ya malipo ya mishahara kwa kiwango cha elimu na sii taasisi ya kazi unayofanya. mbunge darasa la saba alipwe sawa na darasa la saba wenzake wafagizi wa maofisi na makarani, pia mbunge profesa alipwe sawa na profesa aliye chuo
 
Ukweli ni kwamba serikali haiko serious kwene mapato ila iko bize kukopa na kutumia vibaya hata kile kidogo inachokusanya. Mi ningeshauri kuwepo na task force ya kudumu itakayochunguza mianya yote ya upotevu wa mapato (misamaha ya ajabu ajabu ya kodi,kanuni za kijinga za procurement, ukwepaji chronic wa kodi), njia za kuboresha mapato na kuangalia vyanzo vipya. Hatuezi kuimba maendeleo wakati serikali yenyewe haioni umuhimu wa kuwa na mapato ya kuridhisha.
 
Sio kwamba watu wanapenda waone watumishi wa umma hawana mafao ya kutosha Tatizo haya mafao yanvyotolewa hayaaangali mambo kama:-
  • Umuhimu wa kazi- Kwa nini mbunge amzidi RPC, Afisa Kilimo, Mifugo, Afya wa mkoa. Ni kazi gani ya umma ni muhumu Tatazame mifano USA, UK, na nchi zilizondelea. matoeo yake watu wanaacha hata kazi vyuo vikuu wanakwenda kuwa wabunge badala ya kufanya kazi za profeefsion zao kwenye mikoa na wilaya.
  • Ukubwa wa kazi- Ukijumlisha na umuhimu wa kazi, watendaji wa afya,elimu, kilimo mikoani na hat wilayani eneo wanalotakiwa kuwajibika ni kubwa zaidi ya wabunge lakini hawana resources.
  • Wapi tunawekeza - Kwa nini Siasa iwe ni kazi inavyvutia kuliko kazi za utendaji. Kwa nini mtu afikirie kusaidia jamiii kwa kuwa mbunge na sio kwa kazi kama ya RPC, afisa elimu, afya, bishara, mhandisi, maji, etc Kwa nini mbunge(mwanasiasa) ndio awe best paid public employee mkoani na sio mtendaji
Tusidanganyanye wanasiasa wao wanajiongezea mishahara wakidhani wao ndio muhimu sana. Tunajenga kizazi cha wanasiasa badala ya watendaji. Hawa hawa wansiasa huwasikii wakiomba watendaji wanoshughulikia hasa maendeleo waongezewe uwezo hata kuwazidi.

Hivi mbunge atamlauu vipi afisa elimu wa mkoa wakati hata yeye(mbunge) anajua afisa elimu hajawezeshwa kama wewe.
  • Je anayetakiwa kuleta mabadiliko ya kweli kwenye jamii ni huyu mbunge au ni watu ama maafisa elimu, faya, kilimo
Kwa hiyo ziitto aelewe suala sio mafao dhhaifu dhaifuaifu suaa ni kazi gani zinapewa Priority??? Kazi gani za umma zinatakiwa kuito Tanzanai kwenye umasikini? Wanasiasa wanajiona wao wanataiwa kuwa juu ya wengine. Wafanaye uchunguzi wabunge wa huko majuu na walinganishe mapato yao na watendaji wengine waone.

NB
90 % ya matatizoyetu yamesababishwa na kuchangiwa na siasa. Lakini sio hata 15% ya matatizo yetu yatatuliwa na wanasiasa au kisiasa.
Kama ni ajira za vijana watangaze kazi za mikataba miaka mitano mitano kwenye kilimo, faya elimu mikoani na wilayani. Na malipo yawazidi wabunge. matokeo watayaona hata bila kuongezza idadi ya majimbo

Hongera mkuu! Tanzania "siasa" inathaminiwa kuliko "profession"!! Ndo maana watu wanakimbia profession zao wanaingia siasa kwani kwa Tz inalipa zaidi! Je, kwa mtindo huu tutafika?
 
Sio kwamba watu wanapenda waone watumishi wa umma hawana mafao ya kutosha Tatizo haya mafao yanvyotolewa hayaaangali mambo kama:-

  • Umuhimu wa kazi- Kwa nini mbunge amzidi RPC, Afisa Kilimo, Mifugo, Afya wa mkoa. Ni kazi gani ya umma ni muhumu Tatazame mifano USA, UK, na nchi zilizondelea. matoeo yake watu wanaacha hata kazi vyuo vikuu wanakwenda kuwa wabunge badala ya kufanya kazi za profeefsion zao kwenye mikoa na wilaya.
  • Ukubwa wa kazi- Ukijumlisha na umuhimu wa kazi, watendaji wa afya,elimu, kilimo mikoani na hat wilayani eneo wanalotakiwa kuwajibika ni kubwa zaidi ya wabunge lakini hawana resources.
  • Wapi tunawekeza - Kwa nini Siasa iwe ni kazi inavyvutia kuliko kazi za utendaji. Kwa nini mtu afikirie kusaidia jamiii kwa kuwa mbunge na sio kwa kazi kama ya RPC, afisa elimu, afya, bishara, mhandisi, maji, etc Kwa nini mbunge(mwanasiasa) ndio awe best paid public employee mkoani na sio mtendaji
Tusidanganyanye wanasiasa wao wanajiongezea mishahara wakidhani wao ndio muhimu sana. Tunajenga kizazi cha wanasiasa badala ya watendaji. Hawa hawa wansiasa huwasikii wakiomba watendaji wanoshughulikia hasa maendeleo waongezewe uwezo hata kuwazidi.

Hivi mbunge atamlauu vipi afisa elimu wa mkoa wakati hata yeye(mbunge) anajua afisa elimu hajawezeshwa kama wewe.
  • Je anayetakiwa kuleta mabadiliko ya kweli kwenye jamii ni huyu mbunge au ni watu ama maafisa elimu, faya, kilimo
Kwa hiyo ziitto aelewe suala sio mafao dhhaifu dhaifuaifu suaa ni kazi gani zinapewa Priority??? Kazi gani za umma zinatakiwa kuito Tanzanai kwenye umasikini? Wanasiasa wanajiona wao wanataiwa kuwa juu ya wengine. Wafanaye uchunguzi wabunge wa huko majuu na walinganishe mapato yao na watendaji wengine waone.

NB
90 % ya matatizoyetu yamesababishwa na kuchangiwa na siasa. Lakini sio hata 15% ya matatizo yetu yatatuliwa na wanasiasa au kisiasa.
Kama ni ajira za vijana watangaze kazi za mikataba miaka mitano mitano kwenye kilimo, faya elimu mikoani na wilayani. Na malipo yawazidi wabunge. matokeo watayaona hata bila kuongezza idadi ya majimbo
Hasaaa! unajua nchi zote zenye nia nzuri ya kimaendeleo migogoro ya mishahara na posho hutolewa na watumishi wa Umma, sio kutoka kwa Wabunge wenyewe kwa sababu hawa huangalia zaidi matumizi kutokana na pato la taifa kuepuka kuliingiza taifa ktk deficit. Maajabu kwetu Tanzania migogoro ya posho inaanza na Bunge ambao wanajua fika kuna malipo kibao hayajafanywa, mfumko wa bei, miradi mingi imelala, nchi iko ktk hali mbali kiuchumi, lakini wapo radhi kukataa hata ongezeko la mishahara kwa watumishi wa serikali lakini wanajiongezea wao Posho zao..Hii kama sii laana kitu gani?
 
Lazima zichukuliwe hatua maalum kubana matumizi ya kile kidogo kilichopo sambamba na kuongeza kipato cha serikali

Hatuwezi kusema kwa vile kuna tija zaidi kwenye kuongeza mapato kwa hiyo faida ndogo ya kubana matumizi ya posho idharauliwe

Tunatakiwa tubane matumizi kwenye safari za viongozi, sherehe za kitaifa, na kuondoa wabunge wa viti maalum pia. Each and every penny counts
 
natambua ya kuwa taifa lina mfumo mbaya wa malipo kwani walimu wanapunjwa sana na polisi ndio usiseme hawawezi ata kujilisha bila ya kutumia rushwa. lakini je suluhu ni kupunguza mafao ya sekta zingine au kuweka sheria ili kila mmoja apate ingawaje laki 8 na kuendelea?
 
Back
Top Bottom