Nimeona maneno ya zitto kabwe ya kupingana na posho, mimi natambua anamtazamo na mawazo yanayoweza kutofautiana na mimi au na watu wengine kwani huo ndio uhuru wa kufikiri.
Tanzania si taifa la kupambana vita kwenye posho za wafanyakazi wake, bali ni taifa linalotakiwa kufanya mapambano katika kudhibiti wakwepa kodi kwenye sekta ya madini na wengine kama wahindi wanaotumia maduka ya jeshi kukwepakodi kubwa sana.
kuwa mfanyakazi wa tanzania si kwamba ulipwe mafao dhaifu, na wafanyakazi wengine kama walimu wakipunjwa mishahara basi ni lazima watu wote wapunjwe mishahara na posho. nadhani ningemuelewa zitto kama angepigania kwanza wafanyakazi wengine kama walimu wapate posho na mishahara mikubwa na kuimiza ukusanyaji wa kodi na taifa kunufaika na rasilimali zetu.
Tanzania si taifa la kupambana vita kwenye posho za wafanyakazi wake, bali ni taifa linalotakiwa kufanya mapambano katika kudhibiti wakwepa kodi kwenye sekta ya madini na wengine kama wahindi wanaotumia maduka ya jeshi kukwepakodi kubwa sana.
kuwa mfanyakazi wa tanzania si kwamba ulipwe mafao dhaifu, na wafanyakazi wengine kama walimu wakipunjwa mishahara basi ni lazima watu wote wapunjwe mishahara na posho. nadhani ningemuelewa zitto kama angepigania kwanza wafanyakazi wengine kama walimu wapate posho na mishahara mikubwa na kuimiza ukusanyaji wa kodi na taifa kunufaika na rasilimali zetu.