Tatizo si Kikwete na uelewa wake bali chuo kikuu alichosoma!

Katika mchanganuo wako zingatia haya:-
Nimesema wanakaririshwa na siyo kukuza uelewa wao. hii ni hata katika tasnia unayojaribu kusema [coordination-uratibu] mwisho wake wanaishia kuwa wana nadharia
Mlinganisho ninaozungumzia ni ule wa similar level of award [i.e chukua aliyemaliza digrii ya sheria mlimani na course ile ile pale mzumbe]
Bado utakuwa haiko sahihi kumtetea JK au Pinda kutokana na kwamba mtu aliye-elimishwa kwa kukaririshwa hawezi kusahau basics tofauti na mtu aliyekaririshwa. Hii nadharia huenda ikawa ngumu kuielewa mpaka ukikutana na watu wa aina hiyo wakifanya kazi katika eneo moja. you will see the difference between he who thinks and he who claims!!

Tofautisha kazi ambazo zinatumia utashi wa siasa na agenda ambayo inatekelezwa chama na kazi zinazofuata utalaam wa mtu. Pinda na wengine wanafwata matakwa ya CCM, na inafika wakati elimu zao wanaweka pembeni.Ukumbuke Pinda hafanyi kazi za Sheria pale CCM anafanya kazi za Kisiasa.So akifanya madudu zilalamikie sera na agenda za CCM wala sio elimu yake. Kumbuka elimu inaweza kutumika vizuri au vibaya, hata kuweza kudanganya mpaka watu wenye akili zao wakakuamini ni utalaam.
 
KIla taasisi ya elimu hususani elimu ya juu inakuwa na vilaza wake. Hivyo ni mtizamo finyu kusema chanzo cha matatizo ya watz ni viongozi wengi kusoma UDSM. Kuna viongozi wengi ambao wamesoma nje ya nchi lakini still hawana mchango wowote katika maendeleo ya taifa letu na jamii zinazowazunguka. Na walitoka na GPA nzuri kabisa. Matatizo ya nchi yetu ni ya kimfumo zaidi mfumo uliopo umeoza toka chini kwa watendaji wa vijiji hadi serikali kuu, huku katiba ya nchi ikiubeba.
 
KIla taasisi ya elimu hususani elimu ya juu inakuwa na vilaza wake. Hivyo ni mtizamo finyu kusema chanzo cha matatizo ya watz ni viongozi wengi kusoma UDSM. Kuna viongozi wengi ambao wamesoma nje ya nchi lakini still hawana mchango wowote katika maendeleo ya taifa letu na jamii zinazowazunguka. Na walitoka na GPA nzuri kabisa. Matatizo ya nchi yetu ni ya kimfumo zaidi mfumo uliopo umeoza toka chini kwa watendaji wa vijiji hadi serikali kuu, huku katiba ya nchi ikiubeba.

Kama Andrew Chenge vile kasoma Havard University angalia alivyo mtendaji bora
 
ndugu hakuna TCU wala nini kuhoji ubora wa udsm against mzumbe au vinginevyo.mimi ni T96 wa udsm. nakumbuka wale wote wenye akili timamu walijiunga UDSM waliotoswa ndiyo wakenda vyuo vingine.why
 
utumbo mtupu.mbona wanaodisco udsm wanaenda kusoma ditna mzumbe na kumaliza. .

Mkuu.., jamaa anachosema ni kwamba UDSM wanafundishwa kukalili sana na sio kuelewa, so kwa dizaini hiyo wale ambao hawawezi kukalili lazima watashindwa na kwenda sehemu ambako watajifunza kuelewa.
 
Mtoa mada acha kuandika ushuzi.
Fahamu kuwa mzumbe, DIT, IFM, CBE, VETA huko kuna wanafunzi.

Ila UDSM kuna wasomi.

Wasomi?? mkuu hebu kuwa serious, wasomi au waandamanaji? kila kukicha migomo, mara wamesimamishwa chuo..??
Pia kukosa UDSM na kwenda chuo kingine ndo haimaanishi kuwa UDSM ndo wanatoa elimu bora, jst ni kwamba UDSM most of waalimu hawafundishi kuelewa, ila ni kukomoa. Baba yangu mkubwa ni Dakta hapo UDSM n av watched th situation thru yeye..,

Eti wasomi kuliko vyuo vingine.., Heshima mbele mkuu:bump::bump:
 
Suala si kuchukua cream. Unatoa NINI? Unachukua cream unatoa togwa. Wanafunzi wanasikiliza lecture wamesimama madirishani. Lecturer anasahihisha paper 3000 na ni essay. Does it matter whether your inputs were cream? Mnachukua wanafunzi vichwa then mnawajaza utumbo badala ya kuwafundisha. Mzumbe wana wanafunzi wachache hence you don't need to do research to see that they are better at least compared to UD. UD imegeuka voda faster kama shule za kata.

mkuu dizaini wewe muimba taarabu eeh?

mbona signature yako imekaa kimipasho-mipasho tu?

by the way, UDSM kinachukua siagi (cream). ukisikia mtu analalama ama anasagia UDSM ujue ama aliliwa kichwa ama alifeli form 6.

(lakini kweli UDSM kuna vilaza. mfano Bansen Burnner)
 
Ni sawa nakusema mwanangu ana akili sana atasoma primary za serikali. Mpeleke alafu akimaliza la saba kamlinganishe na aliyesoma tusiime. AAah. What matters si inputs ni process ndo ina determine outputs.
 
Mi nakushauri tuu ndugu yangu...
Ukitaka kwenda kusoma UDSM Home of the Braves kesha saana form six au huko diploma kisha utapata..
Pia ukitaka Mzumbe au DIT wee lala tuu halafu katest nature yako kama utapata zilizobakia kule mwishoni basi watakufikiria huku... Pia kama una hela wala usihangaike njoo pale mwenge karibu na mti nakutengenezea cheti utasoma Mzumbe bila shida mpaka umalize... UDSM wataku-disko kaa mwenzako JK kaaambulia running Mate GPA...


Halafu pia nitakupa maelekezo ya chuo cha kata nafasi ziko wazi... pale nako mpaka degree hata kama huwezi andika spelling nzuri kama hiyo thread yako..

Bye MC usilete kivuli ni heri ukemee mabaya na usifie mazuri:clap2:
 
Na kwa nini wahitimu wa UD wanakimblia Mzumbe kusoma masters? Wakikosa nafasi ndo wanenda UD? Wameshtuka. Tukubali kukosolewa kwa ajili ya kuboresha elimu ya Tanzania kwa manufaa yetu na vizazi vijavyo. Suala la elimu si ushabiki wa simba na yanga wala CCM na CHADEMA. Vyuo vyote Mzumbe na UD haviko kwenye level ila wanazidiana kunuka. I am luck I got my masters and now PhD abroad but how many will have this chance. Turekebishe elimu yetu jamani.
 
Top 100 Universities and Colleges in Africa by the 4icu.org University Web Ranking


1 University of Cape TownSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
2 University of PretoriaSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
3 Universiteit StellenboschSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
4 The American University in CairoEgypt

flags_of_Egypt.gif
5 University of the WitwatersrandSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
6 University of KwaZulu-NatalSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
7 Rhodes UniversitySouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
8 University of South AfricaSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
9 Cairo UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
10 University of the Western CapeSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
11 Mansoura UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
12 University of NairobiKenya

flags_of_Kenya.gif
13 University of Dar es SalaamTanzania

flags_of_Tanzania.gif
14 University of BotswanaBotswana

flags_of_Botswana.gif
15 Université Cadi AyyadMorocco

flags_of_Morocco.gif
16 University of GhanaGhana

flags_of_Ghana.gif
17 Helwan UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
18 Alexandria UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
19 Université de la ReunionReunion

flags_of_Reunion.gif
20 Tshwane University of TechnologySouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
21 Universidade Eduardo MondlaneMozambique

flags_of_Mozambique.gif
22 Université Abou Bekr Belkaid TlemcenAlgeria

flags_of_Algeria.gif
23 Makerere UniversityUganda

flags_of_Uganda.gif
24 Université Cheikh Anta DiopSenegal

flags_of_Senegal.gif
25 Université des Sciences et de la Technologie Mohamed Boudiaf d'OranAlgeria

flags_of_Algeria.gif
26 University of ZambiaZambia

flags_of_Zambia.gif
27 University of MauritiusMauritius

flags_of_Mauritius.gif
28 Addis Ababa UniversityEthiopia

flags_of_Ethiopia.gif
29 Université de OuagadougouBurkina Faso

flags_of_Burkina-Faso.gif
30 University of IlorinNigeria

flags_of_Nigeria.gif
31 Polytechnic of NamibiaNamibia

flags_of_Namibia.gif
32 International University of AfricaSudan

flags_of_Sudan.gif
33 University of IbadanNigeria

flags_of_Nigeria.gif
34 University of LagosNigeria

flags_of_Nigeria.gif
35 Obafemi Awolowo UniversityNigeria

flags_of_Nigeria.gif
36 Cape Peninsula University of TechnologySouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
37 Sudan University for Science and TechnologySudan

flags_of_Sudan.gif
38 University of JohannesburgSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
39 Nelson Mandela Metropolitan UniversitySouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
40 Zagazig UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
41 North-West UniversitySouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
42 Université Mentouri de ConstantineAlgeria

flags_of_Algeria.gif
43 University of KhartoumSudan

flags_of_Sudan.gif
44 The German University in CairoEgypt

flags_of_Egypt.gif
45 Durban University of TechnologySouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
46 Université des Sciences et de la Technologie Houari BoumedièneAlgeria

flags_of_Algeria.gif
47 Central University of TechnologySouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
48 Université Abdelhamid Ibn Badis MostaganemAlgeria

flags_of_Algeria.gif
49 Université de BatnaAlgeria

flags_of_Algeria.gif
50 Al Akhawayn UniversityMorocco

flags_of_Morocco.gif
51 University of GaryounisLibya

flags_of_Libya.gif
52 Strathmore UniversityKenya

flags_of_Kenya.gif
53 Kwame Nkrumah University of Science and TechnologyGhana

flags_of_Ghana.gif
54 Tanta UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
55 Université d'AlgerAlgeria

flags_of_Algeria.gif
56 Kenyatta UniversityKenya

flags_of_Kenya.gif
57 Assiut UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
58 Al Azhar UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
59 Mogadishu UniversitySomalia

flags_of_Somalia.gif
60 University of BeninNigeria

flags_of_Nigeria.gif
61 Université Mohamed Khider BiskraAlgeria

flags_of_Algeria.gif
62 South Valley UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
63 Université Gaston Berger de Saint-LouisSenegal

flags_of_Senegal.gif
64 Minia UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
65 Université Ferhat Abbas SétifAlgeria

flags_of_Algeria.gif
66 Université Djillali LiabesAlgeria

flags_of_Algeria.gif
67 Menoufia UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
68 Moi UniversityKenya

flags_of_Kenya.gif
69 Université d'OranAlgeria

flags_of_Algeria.gif
70 MISR University for Sience and TechnologyEgypt

flags_of_Egypt.gif
71 Université M'hamed Bouguerra de BoumerdesAlgeria

flags_of_Algeria.gif
72 University of NamibiaNamibia

flags_of_Namibia.gif
73 Université Mohammed V - AgdalMorocco

flags_of_Morocco.gif
74 Université Mohammed V - SouissiMorocco

flags_of_Morocco.gif
75 Université Hassan II - Aïn ChockMorocco

flags_of_Morocco.gif
76 Université Mouloud Maameri de Tizi OuzouAlgeria

flags_of_Algeria.gif
77 Jomo Kenyatta University of Agriculture and TechnologyKenya

flags_of_Kenya.gif
78 Université Ibn TofailMorocco

flags_of_Morocco.gif
79 October University for Modern Sciences and ArtsEgypt

flags_of_Egypt.gif
80 Université de JijelAlgeria

flags_of_Algeria.gif
81 University of LimpopoSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
82 Université d'AntananarivoMadagascar

flags_of_Madagascar.gif
83 Jimma UniversityEthiopia

flags_of_Ethiopia.gif
84 Université de NouakchottMauritania

flags_of_Mauritania.gif
85 Bayan College for Science and TechnologySudan

flags_of_Sudan.gif
86 Université des Sciences Islamiques Emir AbdelkaderAlgeria

flags_of_Algeria.gif
87 October 6 UniversityEgypt

flags_of_Egypt.gif
88 Mauritius Institute of EducationMauritius

flags_of_Mauritius.gif
89 Université Hassan IerMorocco

flags_of_Morocco.gif
90 Sokoine University of AgricultureTanzania

flags_of_Tanzania.gif
91 Université Sidi Mohamed Ben Abdellah FésMorocco

flags_of_Morocco.gif
92 University of ZululandSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
93 Université Hassan II - MohammediaMorocco

flags_of_Morocco.gif
94 University of Fort HareSouth Africa

flags_of_South-Africa.gif
95 National University of RwandaRwanda

flags_of_Rwanda.gif
96 Université Ibn Khaldoun TiaretAlgeria

flags_of_Algeria.gif
97 École du Patrimoine AfricainBenin

flags_of_Benin.gif
98 Université du 7 Novembre à CarthageTunisia

flags_of_Tunisia.gif
99 University of MalawiMalawi

flags_of_Malawi.gif
100 Ahfad University for WomenSudan

flags_of_Sudan.gif


Last Site Update: Wed 12 Jan 11

 
Du naona kuna ka ukweli fulani, wengi wa jamaa wanotuka hapo huwa hawajaiva sawa sawa. Nimefanya kazi na jamaa wa UDSM wengine na Masters zao, lkn application ya taaluma zao huwa ngumu. Graduate wengine wa UDSM Wengine nimesoma nao Masters pala SUA, kweli ni Tia maji tia maji. Tena kwa taaluma walizo somea. Hata hivyo sitaki kuamini kuwa tatizo ni chuo bali watu kuto jibidisha zaidi ya kukalili formula za vitabuni.
 
Kuna vilaza Mzumbe na kuna vilaza UDSM, kuna div one Form 6 kote...suala la chuo silioni mimi! Na kuna werevu kote...nimesoma vyuo vyote hivyo, na Marekani pia...sijaelewa suala la walimu linaingiaje..what about student factor?
 
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!

Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!


Kumbe wewe uelewa na uchambuzi wako wa mambo ni mdogo ni mdogo zaidi ya mara 100000000000000000000000 ya JK. Wewe umesahau vichwa vingi unavyovijua vimetokea Mlimani?umesahau wapiganaji km kina Sinde Warioba, Ulimwengu, Zitto nk ni zao la UDSM. Mwisho wa siku wewe ndio kilaza wa kutupwa, huwezi kulinganisha UDSM na chuo chochote cha kishenzi Tz. Ukweli utabaki kuwa hivyo.Yaani kweli umeshindwa kujadili mambo ya msingi unafananisha Udsm na ile ODM Mzumbe? kweli wewe ni miongoni mwa vilaza katika Tz hii.
 
Wabongo bana.....pumba tupu.....huo u best wa vyuo mbona hatuuoni kwenye utendaji?
 
Wakati fulani huko nyuma elimu ya Mzumbe vs chuo kikuu-udsm ilipokuwa hot issue kama mtakumbuka Mwl JK wa kweli, Julius Kambarage Nyerere alilitolea ufafanuzi .
Kwa ufupi alisema kuwa graduates wa Mzumbe walikuwa wanatayarishwa kuwa mameneja lakini graduates wa UDSM, walikuwa wanatayarishwa kuwa wakurugenzi.
Sasa chekecha mwenyewe,kuna kilaza kati ya hao? Kama yupo ni nani?!!!
 
Ni sawa nakusema mwanangu ana akili sana atasoma primary za serikali. Mpeleke alafu akimaliza la saba kamlinganishe na aliyesoma tusiime. AAah. What matters si inputs ni process ndo ina determine outputs.

NK,
You have to differentiate between teaching and lecturing. Katika vyuo wanatoa lecture, hata kukiwa na wanachuo 10,000. Kwa wenzetu kuna online lecturing, na wanafunzi wanaendelea kuwa bora. Usilete mifano yako ya nursery na primary. Ua unataka UD waanze kufundisha (teaching) kama vyuo vingine na siyo kutoa lecture? Mwisho utataka nao waanze kutoa tution kama vyuo vingine?

Nadhani aliyeanzisha hii mada ana uelewa finyu sana wa elimu, atoe data, yeye anakuja na blaa blaaa bila ya data. Basi nami nisema Havard University ni vilaza kwani Chenge alisoma huko, afadhali ya Learn It pale Sinza. Je argument yangu itakuwa na mshiko au kufurahisha GT?

Papa D, kufeli kidato cha nne siyo mwisho wa maisha, wee rudia tu kama private candidate unaweza ukapata credit.
 
Back
Top Bottom