Nitavunjika mbavu hatimaye leoHata mimi nimegundua wale wa magogoni college ni wazuri sana kwa 'TYPING' kuliko wa UDSM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitavunjika mbavu hatimaye leoHata mimi nimegundua wale wa magogoni college ni wazuri sana kwa 'TYPING' kuliko wa UDSM.
Papa D, Kwa kuliona hilo jitose kwenye sisiem uonyeshe the difference na Hadija Kopa atakutumbuiza siku ya uteuzi wako. Otherwise , Kusema bila kuonyesha utofauti wako huna maanaUkweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!
Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!
Nitavunjika mbavu hatimaye leo
Kauli yako ina mapungufu ya aina mbili; kwanza ina mtizamo mgando. Ubora wa wahitimu katika miaka zaidi ya arobaini ya uhai wa chuo hicho, umekuwa ukihitirafiana siyo tu kwa fani moja na fani nyingine, lakini pia kwa mwaka hadi mwaka. Pili, kimsingi inalinganisha vitu viwili vilivyo tofauti. Katika hali halisi, wahitimu wa vyuo vya DIT na Mzumbe tangu mwanzo ilikusudiwa wawe watendaji (technitians), wakati wale wa mlimani walitegemewa wawe waratibu (coordinators). Ni kutokana na sababu hiyo, ndiyo maana baada ya kuhitimu DIT na Mzumbe walikuwa wanapewa diploma na mlimani digree. Tofauti kati ya diploma na digree, ni kwamba mtu wa diploma anazama zaidi katika eneo dogo, wakati mtu wa digree anafundishwa kwa lengo la kuwa na uelewa kwa maeneo mengi, ili aweze kuratibu kazi za wengine. Watu wengi huwa wanapotosha ukweli kwamba mtu anaweza akawa mwana taaluma tu kwa kujifunza darasani. Hii si kweli, ndiyo maana si sahihi hata kidogo kumwita JK mchumi au Pinda mwanasheria, kwasababu waheshimiwa hawa tangu wahitimu wamekuwa wakifanya mambo tofauti na fani zao.
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!
Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!
Papa D, Kwa kuliona hilo jitose kwenye sisiem uonyeshe the difference na Hadija Kopa atakutumbuiza siku ya uteuzi wako. Otherwise , Kusema bila kuonyesha utofauti wako huna maana
Katika hili hakuna ubishi kwamba wanaoshindwa kupata nafasi mlimani ndio wanaenda kwenye hivyo vyuo vingine (the peripherals) ambako hata walimu wao ni vilaza, wenye PhD za ku-forge na wengine wanaokotezwa mtaani. Pia wahitimu wengi wa UDSM (na ambao hawawezi kupata Lectureship UDSM kwa kuwa na GPA ndogo) ndio wanakuwa lecturers wa Mzumbe, DIT na kwingineko. Hii sio issue ya kuijadili kabisa kwasababu iko obvious ila hata kwenye best universities (e.g UDSM kwa Tanzania) lazima wawepo vilaza lakini vilaza hao hao ukiwapeleka Mzumbe, DIT, Tumaini wanakuwa vipanga! Kwahiyo tatizo sio chuo alichosoma bali ni Kikwete mwenyewe. Kumbuka pia sio wote waliosoma wameelimika na wako wengi wa aina hiyo regardless chuo anachosoma mtu!!
hatimaye utapelekwa muhimbili .... badala ya kufanyiwa operesheni ya mbavu utafanyiwa operesheni ya kichwa .... hivi wale madoctor vilaza walisoma chuo gani
hapo ndugu umeenda isivyo naomba uangalie elimu ya SUA kama unabishi mpeleke mdogo wako au akasome MSc. au PhD uone mzikwake usichukulie vyuo UDSM ndio wako juu sana tunafanya nao kazi tunawaona majority hawana lolote ni jina tu
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!
Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!
UDSM is a mother University in Tanzania. Pole sana wewe uliekua na hamu sana ya kusoma UDSM lakini sababu ulifail (hukua na grades zinazoitajika pale the hill)...Ukachukuliwa na Tumaini, Ruco, Mzumbe etc. Hoja yako ni mfu. Naomba kuwasilisha.
Kama ni chuo cha vilaza mbona huwa kinachukua cream yote, hafu mtu akikosa mlimani ndo anafikiria kwenda vyuo vingine, kwa nini?
Hapo ndugu umechemka kidogo! Haiwezekani kwamba eti wanaokosa nafasi Mlimani ndo wanaenda vyuo vingine. Yaani unataka kusema hata yule anayeenda SUA alikosa nafasi Mlimani? Sahihisha hapo, naomba SUA muiondoe kwenye huu mchuano wenu ili kama mkiamua kuchapana makonde mchapane wenyewe.