sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
Mmakonde kaamua kumkata matumaini kabisa
Binafsi nashangaa kuona hii ni video ya pili mfululizo ya kiba haijafika kilele cha trending, Nahisi ni sababu Ali kiba kaanza kulipia matangazo ya kulipia fb na insta ya sponsored (kama la kwenye picha ya chini), haya matangazo unaweza kuchagya yafikie nchi flani, jiji gani, watu wa jinsia flan, rika, n.k sasa huenda haya matangazo yanatumika kuongeza views na sio kufikia mashabiki, mfano ukilenga tangazo lifike nchi kama pakistani na india ni bei rahisi na pia utapata views maana kuna wahindi wengi na wapakistani wanashindaga mitandaoni na ndio wale wanaotusumbuaga facebook na insta, kwao internet ni sawa na bure tu na wakiona tangazo la msanii huwa wanaicheki na inahesabika kama view, na hapo ndo unakuta ana views kijiji ila hawi mfalme kwenye trending ya Tanzania wala Kenya.
Tangazo linakuwa na muundo kama huu, hili nililiona hapa bongo ila endapo kuna mengine ni kwajili ya pakistani na india na sio bongo, huwezi kuyaona ukiwa bongo, ni wahindi na wapakistani pekee wataliona, na hapo tangazo likiminywa unapelekwa youtube na views zinaongezeka.
Binafsi nashangaa kuona hii ni video ya pili mfululizo ya kiba haijafika kilele cha trending, Nahisi ni sababu Ali kiba kaanza kulipia matangazo ya kulipia fb na insta ya sponsored (kama la kwenye picha ya chini), haya matangazo unaweza kuchagya yafikie nchi flani, jiji gani, watu wa jinsia flan, rika, n.k sasa huenda haya matangazo yanatumika kuongeza views na sio kufikia mashabiki, mfano ukilenga tangazo lifike nchi kama pakistani na india ni bei rahisi na pia utapata views maana kuna wahindi wengi na wapakistani wanashindaga mitandaoni na ndio wale wanaotusumbuaga facebook na insta, kwao internet ni sawa na bure tu na wakiona tangazo la msanii huwa wanaicheki na inahesabika kama view, na hapo ndo unakuta ana views kijiji ila hawi mfalme kwenye trending ya Tanzania wala Kenya.
Tangazo linakuwa na muundo kama huu, hili nililiona hapa bongo ila endapo kuna mengine ni kwajili ya pakistani na india na sio bongo, huwezi kuyaona ukiwa bongo, ni wahindi na wapakistani pekee wataliona, na hapo tangazo likiminywa unapelekwa youtube na views zinaongezeka.