nacho1
Member
- Aug 31, 2014
- 80
- 65
Mwanzo wa tatizo
Tatizo lilianza mwaka jana August 2018 pale ambapo nilianza kuhisi maumivu yanayokuja kwa kasi na kupungua kifuani karibu na eneo la moyo. Maumivu hayo nilihisi yanahusiana na moyo moja kwa moja. Kadiri muda ulivyoenda ilifika wakati nikawa nashindwa kumeza kitu.
Nilienda hospital ambapo dr. Alinieleza maumivu hayo hayahusiani na moyo bali huenda ni ulcers inaninyemelea. Nilipimwa damu ili kuona kama nina bacteria aitwae H. Pylori ambapo baada ya vipimo nilionekana sina tatizo hilo. Dr. Aliniandikia dawa za kupunguza acid tumboni na dawa nyingine za kutibu UPD.
Nikiwa pale hospital nilimsikia Dr. Akitamka 'heart burn' hivyo nilihamua kwenda ku-google ambambo moja kwa moja ilinileta JF the home of great thinkers nikakutana na uzi wa mdau mmoja akielezea namna alivyotibu heart burn kwa kutumia BICARBONATE OF SODA nikahamua kuachana na zile dawa za hospital na kutumia hio bicarbonate. Nilipata nafuu kubwa na maumivu yalipotea kwa miezi kadhaa.
Hali ilivyo Sasa
Kwanzia mwaka huu 2019 March imekua nikinywa maziwa, bia au kutumia pilipili napata shida sana kwani baada ya hapo nasikia maumivu mithili kwamba kifuani ndani kuna mchubuko flani. Mwezi wa tano nilirudi hospital nikamkuta Dr. Mwingine akaniambia niassume sijawahi kupimwa chochote akachukua vipimo upya lakini hakuona tatizo lolote akaniandikia dawa zilezile za mwanzo na nilizitumia lakini sikupona.
nimefika hapa kuomba msaada kwayeyote mwenye kujua sulihisho
Tatizo lilianza mwaka jana August 2018 pale ambapo nilianza kuhisi maumivu yanayokuja kwa kasi na kupungua kifuani karibu na eneo la moyo. Maumivu hayo nilihisi yanahusiana na moyo moja kwa moja. Kadiri muda ulivyoenda ilifika wakati nikawa nashindwa kumeza kitu.
Nilienda hospital ambapo dr. Alinieleza maumivu hayo hayahusiani na moyo bali huenda ni ulcers inaninyemelea. Nilipimwa damu ili kuona kama nina bacteria aitwae H. Pylori ambapo baada ya vipimo nilionekana sina tatizo hilo. Dr. Aliniandikia dawa za kupunguza acid tumboni na dawa nyingine za kutibu UPD.
Nikiwa pale hospital nilimsikia Dr. Akitamka 'heart burn' hivyo nilihamua kwenda ku-google ambambo moja kwa moja ilinileta JF the home of great thinkers nikakutana na uzi wa mdau mmoja akielezea namna alivyotibu heart burn kwa kutumia BICARBONATE OF SODA nikahamua kuachana na zile dawa za hospital na kutumia hio bicarbonate. Nilipata nafuu kubwa na maumivu yalipotea kwa miezi kadhaa.
Hali ilivyo Sasa
Kwanzia mwaka huu 2019 March imekua nikinywa maziwa, bia au kutumia pilipili napata shida sana kwani baada ya hapo nasikia maumivu mithili kwamba kifuani ndani kuna mchubuko flani. Mwezi wa tano nilirudi hospital nikamkuta Dr. Mwingine akaniambia niassume sijawahi kupimwa chochote akachukua vipimo upya lakini hakuona tatizo lolote akaniandikia dawa zilezile za mwanzo na nilizitumia lakini sikupona.
nimefika hapa kuomba msaada kwayeyote mwenye kujua sulihisho