Wakuu wa kazi naomba mnisaidie kwa hili..maana Umeme umeshakuwa tatizo sugu ambalo sijui mchawi ni nani.....Umeme umekuwa ni tatizo kwa miaka mingi hapa Tanzania..ni asilimia chache tu ya watanzania ndio wameunganishwa kwenye Grid ya Taifa...lakini kwa hao wachache umeme umekua bado ni tatizo....Hivi tatizo ni nini?