tatizo ni ushawishi mkubwa wa kina kaka au uwezo mdogo wa kina dada kufanya maamuzi?

arnolds

Senior Member
Oct 10, 2009
105
57
wana JF nawasalimu ktk jina la Allah! Nahitaji mchango wenu katika hili, hivi suala la wanaume kuwa na maneno matamu au ushawishi mkubwa ni kigezo tosha cha kuwafanya dada zetu wasiwe strong kwenye kufanya maamuzi? Mimi sidhani kama utakuwa na akili timamu kama utafanya uamuzi Fulani eti kisa jamaa kakushawishi au kang’ang’ania kupita kiasi!! Nawaomba dada zangu mtumie akili kidogo kuwakabili hao makakaz!

don take it personal, ni mtazamo tu!!
 
wana JF nawasalimu ktk jina la Allah! Nahitaji mchango wenu katika hili, hivi suala la wanaume kuwa na maneno matamu au ushawishi mkubwa ni kigezo tosha cha kuwafanya dada zetu wasiwe strong kwenye kufanya maamuzi? Mimi sidhani kama utakuwa na akili timamu kama utafanya uamuzi Fulani eti kisa jamaa kakushawishi au kang’ang’ania kupita kiasi!! Nawaomba dada zangu mtumie akili kidogo kuwakabili hao makakaz!

don take it personal, ni mtazamo tu!!

Maamuzi yepi ndugu yangu maana maamuzi yako ya aina nyingi, na kwenye mambo mengi hata kama ni uhusiano.....
The bottomline is wote hushawishika kutegemeana na wakati/mahali, hali mhusika aliyo nayo ( furaha, upweke, amani, ugomvi,kujiamini etc)..... na inategemea huyo mshawishiwa ana trade-off nini kwa wakati ule.....
 
wana jf nawasalimu ktk jina la allah! Nahitaji mchango wenu katika hili, hivi suala la wanaume kuwa na maneno matamu au ushawishi mkubwa ni kigezo tosha cha kuwafanya dada zetu wasiwe strong kwenye kufanya maamuzi? Mimi sidhani kama utakuwa na akili timamu kama utafanya uamuzi fulani eti kisa jamaa kakushawishi au kang’ang’ania kupita kiasi!! Nawaomba dada zangu mtumie akili kidogo kuwakabili hao makakaz!

don take it personal, ni mtazamo tu!!
this is nature!.............
 
wana JF nawasalimu ktk jina la Allah! Nahitaji mchango wenu katika hili, hivi suala la wanaume kuwa na maneno matamu au ushawishi mkubwa ni kigezo tosha cha kuwafanya dada zetu wasiwe strong kwenye kufanya maamuzi? Mimi sidhani kama utakuwa na akili timamu kama utafanya uamuzi Fulani eti kisa jamaa kakushawishi au kang’ang’ania kupita kiasi!! Nawaomba dada zangu mtumie akili kidogo kuwakabili hao makakaz!

don take it personal, ni mtazamo tu!!

Amani iwe juu yako pia!
 
Maamuzi yepi ndugu yangu maana maamuzi yako ya aina nyingi, na kwenye mambo mengi hata kama ni uhusiano.....
The bottomline is wote hushawishika kutegemeana na wakati/mahali, hali mhusika aliyo nayo ( furaha, upweke, amani, ugomvi,kujiamini etc)..... na inategemea huyo mshawishiwa ana trade-off nini kwa wakati ule.....[/QUOTE]


huku ndiko KUSHAWISHIKA kwenyewe
 
na wakiwa waangalifu kidogo tu, tumeumia!!!!!!!!!!!

mi nafikiri waendelee hivyohivyo nasi tufaidi!!!!!!!!!
 
Mbona mnaumia kila siku bila hata kujitambu akuwa mnaumia?

Kuumia halafu uwe hujui kwamba unamia ni sawa tu! Na ndio maana mambo mengine tunasema ni NATURE! Nasi tukisema kwamba tunaumia kwa hiyo tushtuke, wanawake wataumia zaidi!
 
Mbona mnaumia kila siku bila hata kujitambu akuwa mnaumia?

najaribu kuelewa ila napata sana ugumu wakuelewa kila kitu hapa,wakina nani wanaumia na kwalipi hasa?
wanaumia au wanaumizana?
maana ninacho fahamu mimi nikua,"waweza jua kua unakula,kumbe na wewe pia unaliwa bila ya kujifahamu"
 
najaribu kuelewa ila napata sana ugumu wakuelewa kila kitu hapa,wakina nani wanaumia na kwalipi hasa?
wanaumia au wanaumizana?
maana ninacho fahamu mimi nikua,"waweza jua kua unakula,kumbe na wewe pia unaliwa bila ya kujifahamu"
SM
HII NI MADA NYINGINGE.....tuendelee kuchangia hii ya udhaifu katika kufanya maamuzi na kudanganyika/kushawishika.
 
nashukuru waungwana,
sioni sababu ya kufafanua zaidi coz am 100% mmenisoma nazungumzia nn!!..tusikwepe tatizo, kwa miaka nenda rudi limekua jambo la kawaida kusikia toka kwa kina dada kwamba wanaume ni laghai na hawaaminiki!. Kama habar ndo hyo kwann wasijifunze kupitia kwa wenzao ambao yameshawakumba!?.

Pamoja JF..
 
Back
Top Bottom