Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,208
- 42,068
Hili jambo la umeme wa TANESCO kuwa mdogo na kukatakata likuwa likijirudia kila mara kwa nyakati tofauti na hili jambo limekuwa kama mazoea.
Majuzi Jumatano ilifika kipindi nikafikiri radio imeungua kabisa hii ni kutokana kwa umeme kuja gafla na kukata na baadae nilishangazwa umeme na uona lakini radio haiwaki kabisa yani nikafikiri imeungua kabisa pamoja na kuwa na stabilizer.
Baadae nikaja gundua kuwa shida ni Umeme mdogo na wengi wamekuwa wakikumbwa na hii shida maana ni wazi uanaweza kuunguliwa na vitu vyako kwa mtindo huu wa TANESCO!
TANESCO kuna shida gani?
Hapa naongelea jiji la Dar es Salaam!
Majuzi Jumatano ilifika kipindi nikafikiri radio imeungua kabisa hii ni kutokana kwa umeme kuja gafla na kukata na baadae nilishangazwa umeme na uona lakini radio haiwaki kabisa yani nikafikiri imeungua kabisa pamoja na kuwa na stabilizer.
Baadae nikaja gundua kuwa shida ni Umeme mdogo na wengi wamekuwa wakikumbwa na hii shida maana ni wazi uanaweza kuunguliwa na vitu vyako kwa mtindo huu wa TANESCO!
TANESCO kuna shida gani?
Hapa naongelea jiji la Dar es Salaam!