Tatizo ni nini kwa vijana wazawa wa Tanzania?

kijanamtanashati

JF-Expert Member
Aug 22, 2014
516
890
Kwanza nianze kwa kusema mimi sio mzawa wa Tanzania, yaani kipindi nikiwa na miaka 8 wazazi wangu walitoka huko walikotoka na kuja kuanzisha makazi yao Tanzania baada ya muda tukapata uraia wa Tanzania. Ukiachana na hayo yote sina tofauti na wazawa wa Tanzania, kwani mpaka sasa najitambulisha kama mzaramo na baadhi ya watu wanaamini hivyo na nadhani naijuwa historia ya wazaramo kuliko wazaramo wenyewe.

Tuachane na hiyo, kitu kilichonipelekea kuandika hapa ni juu ya hawa vijana watanzania. Vijana watanzania wamejaa majungu halafu hawawezi kazi, kazi yao ni kuchekacheka tu ofisini na kushika matak.o wake za watu, ila ikitokea mtu kama mi ambae niko sehemu serikalini wanaanza majungu kwanini huyu yupo hapa wakati sio mtanzania kabisa. Wakati huo huo unaona kabisa akipewa nafasi hawezi angalau kwa dakika tano.

Wanachojua vijana wao unafiki lakini kichwani zero kabisa. Kijana amemaliza degree lakini kichani empty, wapo wapo tu. Wavivu wavivu hata kazi hawajui lakini hapo akitokea mtu( sio mtanzania halisi) akapewa nafasi wanaanza maneno wakati wao sio wafanyaji kazi, wanababaisha. Vijana watanzania mubadilike muache blah blah, wivu na uvivu usiokuwa na misingi!!! Ama sio sisi watanzania wakuja tutazidi kuwaweka kwenye nchi yenu mliozaliwa!!
 
Pole kwa kushikiwa matako ya mke wako.Hizo habari za uvivu zilikuwepo kipindi cha watanzania wa nyerere ila siku wengi wa hao watu wanapiga kazi.Uvivu ni tabia ya mtu na sio nchi mfano uliwahi kufika south unawaonaje wale wenyeji??Drc je unawaonaje wale wenyeji??
 
Hata sihitaji kujua mengi ila naamini wewe una matatizo makubwa sana hata hukustahili kupewa uraia, ungeishi tu kwenu huko. Kama umekuja uko na miaka 8 na ukakuwa nao na umeshindwa kuwabadili, nawe ni jipu na hustahili kuwa raia wa nchi hii ya kijamaa. Wewe umeifanyia nini hao vijana wenzako ambao jasho la wazazi wao limekusomesha?

Halafu ungetaja na taifa ulilotoka tulijue, niaje wewe ni wa asili ya Iceland wanakojitambua hata kuweza kudumisha amani kwao? Ulishawa wauliza wazazi wako kwanini walihama kwao? Inawezekana hizo uzionazo ni tofauti baina ya vijana wa "kwenu " na wa "kwetu" (kimakusudi kabisa) ndizo zilizo muwezesha fadha kuhama huko kuja huku.

Hakuna jamii iko stress free kama wazaramo, ukibisha ni kwakuwa tu hujui mantiki ya maisha na kuishi hapa duniani.
 
Ukiwakuta watu hawajitambui wafanye wajitambue, huo ndo usomi, ustaarabu, na kujitambua. Ungeleta uzi hapa uoneshe umewaelimisha wangapi ningekusifu, na aliyekupa uraia ningempa heko. Kumbuka wewe bado uraia wako haujakamilika kuna haki hunazo hadi leo, na hautozipata wewe labda mjukuu wako huko. Gombea urais uijue Tz.
 
Hata sihitaji kujua mengi ila naamini wewe una matatizo makubwa sana hata hukustahili kupewa uraia, ungeishi tu kwenu huko. Kama umekuja uko na miaka 8 na ukakuwa nao na umeshindwa kuwabadili, nawe ni jipu na hustahili kuwa raia wa nchi hii ya kijamaa. Wewe umeifanyia nini hao vijana wenzako ambao jasho la wazazi wao limekusomesha?

Halafu ungetaja na taifa ulilotoka tulijue, niaje wewe ni wa asili ya Iceland wanakojitambua hata kuweza kudumisha amani kwao? Ulishawa wauliza wazazi wako kwanini walihama kwao? Inawezekana hizo uzionazo ni tofauti baina ya vijana wa "kwenu " na wa "kwetu" (kimakusudi kabisa) ndizo zilizo muwezesha fadha kuhama huko kuja huku.

Hakuna jamii iko stress free kama wazaramo, ukibisha ni kwakuwa tu hujui mantiki ya maisha na kuishi hapa duniani.
mkuu mimesoma kwa pesa za wazazi wangu sio wazazi wao. Vijana watanzania wanajifanya wanajua sana hawakubali kuelekea halafu mi sijasema wazaramo ni kabila baya, nadhani haujanielewa
 
Pole kwa kushikiwa matako ya mke wako.Hizo habari za uvivu zilikuwepo kipindi cha watanzania wa nyerere ila siku wengi wa hao watu wanapiga kazi.Uvivu ni tabia ya mtu na sio nchi mfano uliwahi kufika south unawaonaje wale wenyeji??Drc je unawaonaje wale wenyeji??
watanzania wamezidi uvivu na mkiambiwa mnaleta blah blah kama hizi zako!
 
Watanzania vijana wengi (sio wote) tunahitaji kubadilika hili lazima tukubali. Angalia makampuni yote ya kigeni rank zote za juu watanzania ni wachache mno kama sio hakuna kabisa. Hii inakupa indication kwamba bado tunahitaji kuongeza uwezo wa kuaminika katika majukumu makubwa.
 
ila watanzania wamezidi uvivu na mkiambiwa mnaleta blah blah kama hizi zako!
Kwahyo wewe ni raia wa wapi? Au wewe unaamini tabia kama za uvivu ni za kiutaifa? Uko Tz tangu uko na miaka 8 na bado unajinathibisha nje ya utanzania, we kichwani mna kitu kweli?

Darasa la kwanza hadi juu uko hapa, tabia ulizo nazo ndo utanzania wako huo, unajiondoaje hapo? Kwahiyo ulidhani utanzania ni homoni za uzaliwa? Utakuwa umepotea saana.
 
Kwahyo wewe ni raia wa wapi? Au wewe unaamini tabia kama za uvivu ni za kiutaifa? Uko Tz tangu uko na miaka 8 na bado unajinathibisha nje ya utanzania, we kichwani mna kitu kweli?

Darasa la kwanza hadi juu uko hapa, tabia ulizo nazo ndo utanzania wako huo, unajiondoaje hapo? Kwahiyo ulidhani utanzania ni homoni za uzaliwa? Utakuwa umepotea saana.
wewe una miakili ujue!
yani makuzi, tabia na mazingira ndio utanzania wenyewe huo, na mjamaa maneno anayoongea inadhihirisha kabisa yeye mtanzania ambaye aelewi kasimamia wapi, anaitaji msaada.
 
Mkuu rudi kwenu kwa wachapakazi tuache na nchi yetu.

Kwanza nianze kwa kusema mimi sio mzawa wa Tanzania, yani kipindi nikiwa na miaka 8 wazazi wangu walitoka huko walikotoka na kuja kuanzisha makazi yao Tanzania baada ya muda tukapata uraia wa Tanzania. Ukiachana na hayo hote sina tovauti na wazawa wa Tanzania, kwani mpaka sasa najitambulisha kama mzaramo na baadhi ya watu wanaamini hivyo na nadhani naijuwa historia ya wazaramo kuliko wazaramo wenyewe.

Tuachane na hiyo, kitu kilichonipelekea kuandika hapa ni juu ya hawa vijana watanzania. Vijana watanzania wamejaa majungu halafu hawawezi kazi, kazi yao ni kuchekacheka tu ofisini na kushika matak.o wake za watu, ila ikitokea mtu kama mi ambae niko sehemu serekalini wanaanza majungu kwanini huyu yupo hapa wakati sio mtanzania kabisa. Wakati huo huo unaona kabisa akipewa nafasi hawezi angalau kwa dakika tano. Wanachojua vijana wao unafiki lakini kichwani zero kabisa. Kijana amemaliza degree lakini kichani empty, wapo wapo tu. Wavivu wavivu hata kazi hawajui lakini hapo akitokea mtu( sio mtanzania halisi) akapewa nafasi wanaanza maneno wakati wao sio wafanyaji kazi, wanababaisha. Vijana watanzania mubadilike muache blah blah, wivu na uvivu usiokuwa na misingi!!! Ama sio sisi watanzania wakuja tutazidi kuwaweka kwenye nchi yenu mliozaliwa!!
 
Back
Top Bottom