Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,948
- 709
Jamani, huyu mama hapa (aliyesimama) ni Consultant katika shirika la UNESCO. Atakuwa analipwa hela nzuri tu. Je kwa mtazamo wako, unaona tatizo gani katika hiyo picha? Toa maoni.
KIKWAPA. Nyani Ngabu hebu kielezee......
Jamani, huyu mama hapa (aliyesimama) ni Consultant katika shirika la UNESCO. Atakuwa analipwa hela nzuri tu. Je kwa mtazamo wako, unaona tatizo gani katika hiyo picha? Toa maoni.
mmmh hawezi kukabiliana na hali ya joto
yuko ndani ya auditorium ya british council ambamo kuna full kipupwe.
joto la Dar kama hakuna Air condition hata upake deodorant inaweza chemsha Ila inasaidia kwa kiwango fulani ukizingatia nguo yake imebana kwapa.
Pia sio jasho zote zinanuka kivile inategeneana na mtu pamoja na intake.
Inaoneka alikuwa msongo na kichwa sana shuleni
Mademu niliosoma nao shule/chuo waliokuwa wanatuburuza
walikuwa kama huyu mama kuanzia mwonekana wa kichwa
uso, ukali, na hiyo self defence mechanism(KWAPA). Huyo ukimtokea
anakuacha unamkumbatia hasa siku aliyotoka maeneo kama ya k'koo
na hutakaa ugeuke hata kumsalimia huku yeye anapiga buku na GPA inakuwa 6+
ahahahaha kwikwikwi..heheheh umenichekesha mpwa!!
Inaoneka alikuwa msongo na kichwa sana shuleni
Mademu niliosoma nao shule/chuo waliokuwa wanatuburuza
walikuwa kama huyu mama kuanzia mwonekana wa kichwa
uso, ukali, na hiyo self defence mechanism(KWAPA). Huyo ukimtokea
anakuacha unamkumbatia hasa siku aliyotoka maeneo kama ya k'koo
na hutakaa ugeuke hata kumsalimia huku yeye anapiga buku na GPA inakuwa 6+