Bebeto01
Member
- Jul 28, 2018
- 31
- 75
Habari wakuu, moja kwa moja kwa hili jambo linalonitatiza.
Hawa wanawake wa sasa sijui huwa wanawaza nini aisee, kuna binti tumefahamiana kama siku mbili, siku ya tatu nampigia simu anasema hawezi kupokea sababu speaker ya simu imeharibika, mara kioo kimevunjika anaenda Kariakoo kwa fundi.
Nimekaa nawaza sana kwamba hawa wanawake wa siku hizi tatizo ni malezi au tamaa? Kwanini haya yatokee ghafla, au huwa wanatuona wanaume mabwege au vipi?
Kitu kama hii jamaa angu mmoja kalalamika pia, siku ya pili baada ya kumfahamu binti ghafla hana bundle, mara hajala, kodi, sasa mtu unawaza umeishije kabla yangu?
Aisee inakera sana, muda mwingine umeona binti ana muonekano kabisa wa heshima na unakuwa unawaza kwamba huyu ni wakuweka na ikiwezekana ndoa labda, ghafla matatizo.
Hii inakata sana, wanawake badilikeni.
Hawa wanawake wa sasa sijui huwa wanawaza nini aisee, kuna binti tumefahamiana kama siku mbili, siku ya tatu nampigia simu anasema hawezi kupokea sababu speaker ya simu imeharibika, mara kioo kimevunjika anaenda Kariakoo kwa fundi.
Nimekaa nawaza sana kwamba hawa wanawake wa siku hizi tatizo ni malezi au tamaa? Kwanini haya yatokee ghafla, au huwa wanatuona wanaume mabwege au vipi?
Kitu kama hii jamaa angu mmoja kalalamika pia, siku ya pili baada ya kumfahamu binti ghafla hana bundle, mara hajala, kodi, sasa mtu unawaza umeishije kabla yangu?
Aisee inakera sana, muda mwingine umeona binti ana muonekano kabisa wa heshima na unakuwa unawaza kwamba huyu ni wakuweka na ikiwezekana ndoa labda, ghafla matatizo.
Hii inakata sana, wanawake badilikeni.