HpNi pc gani?
Window 10 ndo nayotumiaWakuu msaada hapa, nimejaribu hizo option zote hapo chini bado inakataa, Pc ni hp Pavilion g6.Natanguliza shukran View attachment 1227202
Je kila kitu kinakubali? Au ni hiyo keyboard pekee?
Tuanze na hapo kwanza,
[/QUOTE
tatizo no keebody hazirespond niliambiwa tatizo in window lakini nikijaribu keyboard nyingine hazikubali
Blue screen mwenye kuiweza?Habari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya
Karibuni sana wakuu
Pirate
Blue screen mwenye kuiweza?
Kuna pc nimesahau password nikiwasha tu inanitaka niingize password ili iweze kuendelea sasa nimesahau msaada tafadhali naomba
Mie tatizo langu ni kuwa nashindwa kuscroll kwa kutumia vidole viwili kama zamani. Pc yangu Notebook HP 250 G3 niliinunua ikiwa na window 8.1 na nilikuwa naweza kuscroll kwa vidole viwili. Lakini window ilicorrupt nikaipiga chini. Nimeinstall upya window hiyo hiyo lakini tangu hapo siwezi tena kuscroll kwa vidole viwili.
Naomba msaada wadau.
Sasa utàdownload vipi wakati pc bila kuendelea na process nyingine haikubali?Kuna application za password recover au clear,
Zipo nyingi ukisearch kwa google.
Ila.mie nimezoea kutumia hirens pasword recover.
Mkuu naweza kupata screen ya dell latitude e6400 kwa bei gani?Anyway cjui ulipo lakin tatizo mafundi awapo na fixed price,but hiyo cooler paste inauzwa 6000Tsh
Blue screen mwenye kuiweza?