Inferior Complex
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 3,655
- 5,008
kati ya Intel pentium na core ipi ina Kasi nzuri?Weka specifications za hiyo pc hapa, hdd, ram, processor.
VIP naweza kubadili pc toka mfumo wa pentium na kuwa core??
kati ya Intel pentium na core ipi ina Kasi nzuri?Weka specifications za hiyo pc hapa, hdd, ram, processor.
kuhus processer vp nayo naweza kubadili ?? au hizo hazibadilik?Weka specifications za hiyo pc hapa, hdd, ram, processor.
lingine mkuu.Weka specifications za hiyo pc hapa, hdd, ram, processor.
oyo mi natumia linux elmentary ila kunawakati inastaki hasa napo play video and sametimes audio na kunawakati inakua slow kupitakawaida
Nimejaribu mkuu bado iko slow sana, kuna njia niliona sehemu bt nimesahau ya kufuta makolokolo yaliyojificha kwa kutumia cmd....nikumbushe mkuuBTW em jaribu kuifungua pc kuisafisha pia ongeza thermal paste Kwenye processor, kisha ifunge vizur rudishia itarud Poa.
Nimejaribu mkuu bado iko slow sana, kuna njia niliona sehemu bt nimesahau ya kufuta makolokolo yaliyojificha kwa kutumia cmd....nikumbushe mkuu
Core i3, i5, i7 ndio zenye kasi, pentium ni outdatedkati ya Intel pentium na core ipi ina Kasi nzuri?
VIP naweza kubadili pc toka mfumo wa pentium na kuwa core??
natumia linux steam inafunguka lakin game halirun
Mkuu PC yangu kwenye keyboard haitoi mwanga tatizo ni nini labda?Habari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya
Karibuni sana wakuu
Pirate
Mkuu PC yangu kwenye keyboard haitoi mwanga tatizo ni nini labda?Core i3, i5, i7 ndio zenye kasi, pentium ni outdated
Mkuu PC yangu kwenye keyboard haitoi mwanga tatizo ni nini labda?
Nimecheki lakini wapi?
Msaada waeshimiwa
Natumia window 10 home & pro kilabaada ya mda inazingua Bluetooth nainashindikana kufix paka nishushe window niweke tena upya na baada ya wikikadhaa tatizo linajirudia tena
Pc ni elitebook 8470p
RAM 4gb
Intel core i5
Msaada kwa anaejua solutioni ya hili tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app