TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,330
- 8,420
Ukiangalia Kodi wanazotozwa hii mitano ya simu na Serkali ni kubwa hasa ikizingatia na faida wanayoipata kupitia Trasfication Fee, kwenye uendeshaji wa mitandao yao wanatumia Pesa nyingi hasa hasa wanaekeza Pesa nyingi kwenye kulinda usalama wa wadukuzi kuanzia kwenye Account za pesa nk..
Ukija kwenye wafanyakazi ukiweka na Kodi wanazochukua Serkali ni kubwa hivyo hawawezi kishusha bei za vifurushi icho kitu never.
Chamsingi tuwaombe Serkali wapunguze Kodi kwa hii mitandao ya Simu ili wananchi wapate Kitonga.
Ukija kwenye wafanyakazi ukiweka na Kodi wanazochukua Serkali ni kubwa hivyo hawawezi kishusha bei za vifurushi icho kitu never.
Chamsingi tuwaombe Serkali wapunguze Kodi kwa hii mitandao ya Simu ili wananchi wapate Kitonga.