Tatizo lipi unatamani litatuliwe katika tasnia ya IT Tanzania?

Pana kampuni moja inayotoa huduma. Kila mara watu wake wa mauzo wanaponijia, huwa nawaambia, mlipokuwa na app yenu, nilikuwa nanunua huduma zenu. Kwa sasa app hamna. Kulikoni? Wakasema madai ambayo sijaweza kuyathibitisha: app yao / web payment solution yao walitakiwa kuilipia mpunga mrefu kwa mdhibiti / some government bureaucracy, mpaka ikawa haimeki bizinesi sense.

Tatizo la kuweka udhibiti kwenye ICT sector. ICT thrives on the mazingira ya fujo, sintofahamu, kila mtu na lwake. Ikianza kuwekewa mikingamo ya kirasimu, ubunifu kwenye ICT kwisha habari yake.

well said, me nasema urasimu, mimi nishawah kutengeneza app inayoweza kutanisha buyers na sellers wa mazao ya kilimo nilivyoenda front mambo nlokutana nayo aisee, nikabaki tu na app yangu, urasimu mwingi and serikali vitu vingine wanazingua
 
Kula tano.
"Tunakwenda kuchukua degree, na si kusomea degree".

Hitimisho langu ni kwamba vyuo vya Tanzania, havifundishi IT.

Vinatoa tu degree zisizo na maana yoyote

Tutorials chache za YouTube ni worth than 1.5M unaliyolipa kwa mwaka Chuoni
 
Nakupata mzee
Ila nadhani IT na computer scientists wengi wabongo wanajifunza Programming tu na sio Problem Solving

Programming ni tool tu
Lengo la kuwa computer scientists au IT ni kutatua changamoto zilizopo kwenye jamii kwa kutumia programming kama nyenzo

Usisubiri ajira
Angalia kuna changamoto gani tatua

Waajiri watakufata tu

IT au computer scientists hawapaswi kulalamika kuhusu ajira

Cause wana uwezo wa kutengeneza ajira
Mkuu napenda sana kufahamu ishu ya programming naomba ushauri wako. Nina shughuli ambayo endapo nitafahamu hicho kitu basi kitanisaidia sana

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Mkuu napenda sana kufahamu ishu ya programming naomba ushauri wako. Nina shughuli ambayo endapo nitafahamu hicho kitu basi kitanisaidia sana

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Nakushauri utafute Mentor wa kuku fundisha Programming as long as una passion na una clear plan ya tatizo unalotaka kulitatua kwa msaada wa Programming


Programming ni nyenzo kama nyenzo nyingine yoyote ya Ku solve matatizo

So kukushauri naweza kukushauri uanze na Programming Language hii au ile ila ni muhimu sana ungepata msingi ya Programming kabla huja amua kuanza kusoma Programming language

Pia kwenye Kuchagua IPI language uanze Nayo inategemea na tatizo unalotaka kutatua

Niicheki mzee kwa ushauri zaidi 0748333586
 
Nilipoingia mwaka wa pili niliacha kabisa kuingia darasani, niliona ni kupoteza muda kwa sababu hakuna nilichokuwa nakipata. Walimu walichokuwa wanafanya ni translation tuu hakuna kingine.

Nilijikita zaidi kutengeneza portfolio yangu, niliweka plans by the end of that academic year niwe full stack web developer na ni apply remote job kwenye firm yoyote ya software development.

Bila mentor yeyote, ilikuwa ni mimi na vitabu, online forums, websites na YouTube.
 
Nilipoingia mwaka wa pili niliacha kabisa kuingia darasani, niliona ni kupoteza muda kwa sababu hakuna nilichokuwa nakipata. Walimu walichokuwa wanafanya ni translation tuu hakuna kingine.

Nilijikita zaidi kutengeneza portfolio yangu, niliweka plans by the end of that academic year niwe full stack web developer na ni apply remote job kwenye firm yoyote ya software development.

Bila mentor yeyote, ilikuwa ni mimi na vitabu, online forums, websites na YouTube.
Yah na that's how you can learn programming kwenye nchi kama hii
 
Nataka....kuwe na soko la pamoja la Tanzania ambapo mtu anaweza kuagiza mizigo kwa reja reja na jumla kutoka kariakoo.
-Iwepo sehemu ya kulipia kwa njia ya mitandao ya simu, bank, bitcoin.

-Sehemu ya negotiation...
-Suchagua njia ya usafirishaji as ....gari train,ndege,...na vingine
-sehemu ya kutrack mzigo umefikia wapi
-kodi ya mzigo kama ipo
- Sehemu amabayo mnunuzi anaweza kuweka comment.....kwa mfano ninataka rangi gani na ngapi na size...hivo hivo kwa items nyingine

  • Somments na rating kwa muuzaji...ili kucontrol quality
  • Sehemu ya kufungua mashtaka./disputes..ikiwezekana refunds zitolewe kama ulichagiza sicho
  • Kuwe na privacy kiasi kwamba matapeli hayawezi kukwapua hela kwenye account za watu
  • Product imfikie mlengwa mlangoni...hii itasumbua coz hatuna adresses za majumbani, ila nilisikia wanampango wa kutengeneza zip codes itasaidia hapa

Kuna mtu ataniuliza mbona kikuu, alibab, aliexpress wanafanya hivo?

Mimi nataka watanzania wanaofanya manunuzi kupitia simu za mikononi,instagram,watsapp watumie njia rahisi, secure na efficent...maswala ya kuambiana njoo inbox sio poa ,mara unauziwa bei tofauti na wateja wengine ni shida

Wabongo ..tuna matatizo likiki kwenye kuaminiana..nashauri kwenye posts za product uweke nafasi kubwa kuruhusu enough description ya item, ikiwezekana iwekwe video sio lazima picha.

Mawazo yangu ni vague, lakini naamini utachukua kitu.
Hili wazo lako likikamilishwa vizuri hatutaona machinga barabarani


Wenzetu wachina wamepiga hatua kiasi kwamba mtu anaweza kuwa na nguruwe morogoro akamuuzia mtu wa dar juu kwa juu bila kuonana nguruwe wakamfikia mnunuzi mpaka mlangoni kwake.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Wazo zuri sana mkuu....hata Mimi nawaza kama wewe.

Changamoto kubwa ya online business Tanzania.

Sio kuaminiana....hata Ulaya hakuna atakaye kuamini kwenye pesa

Tatizo kubwa ni Payment Gateway itakayofanya kazi yenye Escrow like Architecture.

(Yaani malipo yanafanyika baada ya pande mbili kuridhiana)

Huu mfumo ukiwepo uta revolutionized Online businesses za Tanzania

Huu ndio mzizi wa yote

Hizo Amazon, Aliexpress au Alibaba zilianza hio mifumo ikiwepo so hawakua na haja ya Ku design payment system zao mpaka pale walipokua wakubwa na kuanza kujitegemea
Chief ichangamkie hio fursa wadau tupo wa kukuunga mkono

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Pana kampuni moja inayotoa huduma. Kila mara watu wake wa mauzo wanaponijia, huwa nawaambia, mlipokuwa na app yenu, nilikuwa nanunua huduma zenu. Kwa sasa app hamna. Kulikoni? Wakasema madai ambayo sijaweza kuyathibitisha: app yao / web payment solution yao walitakiwa kuilipia mpunga mrefu kwa mdhibiti / some government bureaucracy, mpaka ikawa haimeki bizinesi sense.

Tatizo la kuweka udhibiti kwenye ICT sector. ICT thrives on the mazingira ya fujo, sintofahamu, kila mtu na lwake. Ikianza kuwekewa mikingamo ya kirasimu, ubunifu kwenye ICT kwisha habari yake.
Hofu ya watawala wa kitanzani ni wananchi wao kuwa matajiri na hizo Sera zimewekwa kimkakati na sio kwenye ICT Tu Pia kwenye kilimo na biashara mambo ni Yale yale

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
well said, me nasema urasimu, mimi nishawah kutengeneza app inayoweza kutanisha buyers na sellers wa mazao ya kilimo nilivyoenda front mambo nlokutana nayo aisee, nikabaki tu na app yangu, urasimu mwingi and serikali vitu vingine wanazingua
Vunja Sheria mkuu halafu ukutane nao mahakamani uwapige za uso.

Kutusua kwenye nchi zetu hizi za kiafrica unapaswa kuwa mafia kweli kweli

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Watanzania tusome vitabu. Achana na wanafunzi... Walimu ambao ndio wafundishaji wana notice za mwaka 1999 mpaka leo.. past papers nikama zinarudiwa.. yaani kwa kifupi elimu yetu ipo frozen in time.. sana sana 1980-2000. Wakati dunia iko mbele 20 years.
 
Swali zuri,

Kama ndio kwanza unaanza na area ya programming uliyoipenda ni Mobile Apps Programming kulingana na swali lako

Nakushauri uanze na JavaScript
(Au kama una passion zaidi tujifunze Typescript)
Japo ni rahisi Ku shift from JavaScript to Typescript baadae

Faida ya kujifunza JavaScript ni kwamba utaitumie pande zote mbili
Frontend na Backed

Kama haupo familiar
Frontend ndio huo muonekano wa App yako,hicho mtumiaji anachokiona na kukishika....User Interface

Then Backend ni nyuma ya pazia ya app yako
Logics ya app ndipo ilipo...

Advantage nyingine ya JavaScript ni kwamba Cross platform Mobile App Framework ambayo ni popular kwa sawa inatumia JavaScript au Typescript kama lugha mama

Na App kama Facebook , Skype na Instagram zimetengenezwa entirely na hio Framework

Inaitwa React Native nitakuwekea links zake kama utahitaji

Baada ya kujifunza JavaScript, jifunze
Nodejs na React Native

Hio ndio njia ya kuwa Mobile App developers bora kwa sasa

Usisahau pia Basics za Web
Kama HTML na CSS

Haswa CSS
Hii inatumika Ku style web page lakini kwa kutumia React Native kuna similar concept ya kustyle app yako katika mtindo aina ya CSS
Yaani nimekuvulia kofia coz now nina soma coding kuna kitabu kinaitwa "coding for dummies" mambo yana flow kbs kaka shukrani
 
Back
Top Bottom