Kuchwizzy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 1,070
- 2,299
Mambo vipi wanajamvi?
Tasinia ya IT (Information Technology) au TEHAMA kama alivyonikaririsha mwalimu wangu Mzee Malima wakati ananicholea CPU kwenye ubao.
Niliipenda hivyo hivyo japo nilifundishwa kibishi kwa kuwa niliamini nikifika chuo nitafundishwa kila kitu kwa ufasaha.
Kama ilivyo elimu ya Tanzania, mwalimu wako wa shule ya msingi atakwambia "Utaelewa zaidi ukifika secondary' wa secondary atakwambia " utaelewa zaidi ukifika A level"
Yaani kama kuku na vifaranga vyake "Mtanyonya kesho, mtanyonya kesho"
Ukifika A level unajikuta mda mwingi utatumia kujifunza mwenyewe au kufundishwa na wana walio cover mapema. Impact ya mwalimu ni 20%.
Unatoka hapo na concept zako chache za Electronics kisha unafika chuo kwa furaha ukiamini sawa maswali yako yote kuhusu IT yanaenda kujibiwa.
Personally swali langu kubwa lilikua ni hili?
Computer inafanyaje kazi?
Umeme unaopita kwenye wires na switches unazalisha vipi picha na video ninayoona kwenye screen yangu?
Ina play vipi mziki?
Inahifadhi vipi kumbukumbu?
Website na App zinahifadhi vipi data za watumiaji wake
YouTube inajuaje video unazozipenda
Google inafanya kazi vipi?
Ila nilichokiona chuo at least kwa course niliyochukua (Computer Science) ni masikitiko
Na ni chuo kizuri, japo siku hizi nasikia kimepata jina jipya la jalalani
Sipendi, sipendi mtanie chuo changu
Japo ufundishaji wake nahisi unaendana kabisa na hilo jina at least kwa course niliyosoma.
Hapa ndipo nilipokuja kugundua kwanini ma IT Watanzania sio competitive.
Hawa solve matatizo yoyote ya maana kwenye jamii. Wavivu wa kujifunza top-notch technologies
Jibu ni kwamba wengi wao hawana Msingi mzuri wa IT au Computer Science
Sitosahau nilivyofundishwa database kwa kuchorewa table moja tu ubaoni. Sikuelewa hata kilichokua kinafundishwa pale.
Hakuna mstari wowote wa codes ulioandikwa. Hata illustration ndogo ya vipi database ina communicates na application na kuleta taarifa zote kwa mtumiaji. But Mungu hamtupi mja wake.
Kwa kuwa nilikua na kitu ya kujifunza nikapata walimu wapya. Community ya Computer Science ilinipokea nikapata walimu wapya
YouTubers, strangers wa stack over flow, Documentations za open source software na libraries.
Tech Talks, na most of all CS50 channel ya YouTube
Ukichanganya na kidogo nilichokua nacho, now I know a lot katika career yangu japo still najifunza kitu kipya kila siku
Hitimisho langu ni kwamba vyuo vya Tanzania, havifundishi IT.
Vinatoa tu degree zisizo na maana yoyote
Tutorials chache za YouTube ni worth than 1.5M unaliyolipa kwa mwaka Chuoni
WIZI MTUPU
Lengo la uzi huu ni kupeana ushauri nini kifanyike kuikoa sekta hii
Na tatizo lipi ungependa ma IT wa Tanzania walitatue
Note: sijasema IT wote sio competitive
Wapo wachache the best of the best
Tasinia ya IT (Information Technology) au TEHAMA kama alivyonikaririsha mwalimu wangu Mzee Malima wakati ananicholea CPU kwenye ubao.
Niliipenda hivyo hivyo japo nilifundishwa kibishi kwa kuwa niliamini nikifika chuo nitafundishwa kila kitu kwa ufasaha.
Kama ilivyo elimu ya Tanzania, mwalimu wako wa shule ya msingi atakwambia "Utaelewa zaidi ukifika secondary' wa secondary atakwambia " utaelewa zaidi ukifika A level"
Yaani kama kuku na vifaranga vyake "Mtanyonya kesho, mtanyonya kesho"
Ukifika A level unajikuta mda mwingi utatumia kujifunza mwenyewe au kufundishwa na wana walio cover mapema. Impact ya mwalimu ni 20%.
Unatoka hapo na concept zako chache za Electronics kisha unafika chuo kwa furaha ukiamini sawa maswali yako yote kuhusu IT yanaenda kujibiwa.
Personally swali langu kubwa lilikua ni hili?
Computer inafanyaje kazi?
Umeme unaopita kwenye wires na switches unazalisha vipi picha na video ninayoona kwenye screen yangu?
Ina play vipi mziki?
Inahifadhi vipi kumbukumbu?
Website na App zinahifadhi vipi data za watumiaji wake
YouTube inajuaje video unazozipenda
Google inafanya kazi vipi?
Ila nilichokiona chuo at least kwa course niliyochukua (Computer Science) ni masikitiko
Na ni chuo kizuri, japo siku hizi nasikia kimepata jina jipya la jalalani
Sipendi, sipendi mtanie chuo changu
Japo ufundishaji wake nahisi unaendana kabisa na hilo jina at least kwa course niliyosoma.
Hapa ndipo nilipokuja kugundua kwanini ma IT Watanzania sio competitive.
Hawa solve matatizo yoyote ya maana kwenye jamii. Wavivu wa kujifunza top-notch technologies
Jibu ni kwamba wengi wao hawana Msingi mzuri wa IT au Computer Science
Sitosahau nilivyofundishwa database kwa kuchorewa table moja tu ubaoni. Sikuelewa hata kilichokua kinafundishwa pale.
Hakuna mstari wowote wa codes ulioandikwa. Hata illustration ndogo ya vipi database ina communicates na application na kuleta taarifa zote kwa mtumiaji. But Mungu hamtupi mja wake.
Kwa kuwa nilikua na kitu ya kujifunza nikapata walimu wapya. Community ya Computer Science ilinipokea nikapata walimu wapya
YouTubers, strangers wa stack over flow, Documentations za open source software na libraries.
Tech Talks, na most of all CS50 channel ya YouTube
Ukichanganya na kidogo nilichokua nacho, now I know a lot katika career yangu japo still najifunza kitu kipya kila siku
Hitimisho langu ni kwamba vyuo vya Tanzania, havifundishi IT.
Vinatoa tu degree zisizo na maana yoyote
Tutorials chache za YouTube ni worth than 1.5M unaliyolipa kwa mwaka Chuoni
WIZI MTUPU
Lengo la uzi huu ni kupeana ushauri nini kifanyike kuikoa sekta hii
Na tatizo lipi ungependa ma IT wa Tanzania walitatue
Note: sijasema IT wote sio competitive
Wapo wachache the best of the best