Tatizo letu Watanzania tupo Low Key kwenye ishu za Maana; High key kwenye upuuzi. Mama Samia pandisha Key

Na cha ajabu wengi tulipelekwa kenya enzi hizo kusomea huko english medium wakenya hawakuwa wachoyo wakaingiza kipato mpaka wenzao wakaja kufungua shule huku za english medium na wengine wameiga wamewekeza kwenye shule sasa tunaogopa nini kuchangamana Ili tubebe maarifa mengine? Alafu tukiacha kuchukua ujanja kwa jirani itabidi twende mbali huko china kuchukua vitu feki Ili tutumie na wakati hapo jirani unaweza kuchukua ujanja kwa gharama nafuu.
 
Baada ya wapambanie fursa wenyewe ni kujihami tu kila mara. Vile pia ukiwasoma mioyoni ni kama kumejawa chuki na choyo. Wanataka ikitokea wafanye biashara, wanatamani wafaidike wao tu.

Mama kashapuliza kipenga, kila mtu akashinde match zake, sio muda wa kulia lia.
 
Kweli tupu Kuna mijitu imekalia kukariri maisha hajiongezi hata nukta mbili
Muda wote inalialia kutafuta huruma za wajinga wenzao,

Kama taifa tuna safari ndefu sana
Karne ya 21 Bado li jitu lina fikra za 1971 huko likidhani tupo vijiji vya ujamaa kumbe wenzake wapo dunia ya ushindani kibiashara!
 
Ningependa kufahamu wasi wasi mkubwa upo juu ya nini kuhusu hawa jirani zetu wa Kenya?.

"Tupo low key, na tuna kiss kwenye BIMA" ~billnass
 
Hii ni kweli tupu umeongea. High key wengi wa Tanzania wanamezwa na mamilioni ya low keys. Hata Magufuli alijua hili thus why akawa anacheza na mindset za low keys kwenye kampeni wakawa wananengua matako wakicheza "hiyena hiyena" huku kushoto wakivalia yeboyebo la pinki na kulia yebo la njano. Ajabu sana hii
 
Back
Top Bottom