Tatizo letu sisi wa Africa ni NINI

Hatuna nidhamu kwa tunachokifanya (hususani tukiwa kwenye group/team waafrika watupu)
 
hao wamezidisha machungu ktk kidonda changu cha ureno,timu za kiafrika nying n kama pepe.
 
Timu ya Nigeria ilikosa attacking midfilder mzuri actually walikosa mtu wa kutoa pasi za mwisho kwa Emunike
kosa la pili walilolifanya ni kuweka striker mmoja tu kipindi cha kwanza na pia walifanya makosa ya kumwingiza Shola Ameobi badala ya Peter Odemwinge kwanza ambaye kwa kiasi fulani yuko fit zaidi ya Ameobi
 
sitaki kuamini hwa ghana nao tayari washafungwa yani huu mpira cjui jaman
 
Nigeria timu ni hovyo kabisa wala haikuwa na kiwango cha kucheza world cup.
..at least Ghana wana timu nzuri japo US nao safari hii wamekuja vizuri
 
Hv nyinyi watz mnachakusema kuhusu mpira? Timu yenu iko wapi!?

Kwanza naweza kusema Cameroon ndio timu hovyo ya kiafrica. Nigeria wamecheza mpira mnzuri wenye confidence sema umaliziaji sio mzuri. Ghana nayo ni timu nzuri sana sema hawakuwa na kasi na ari ya kufunga kama wamarekani. Magoli ya wamarekani ya kibahati bahati sana kama la kwanza lile lilikuwa limetokea tu na makosa makubwa.
Lakin naweza kusema forward za ghana sio nzuri kunahitaji mtu mwingine anaweza kuwa na accuracy, speed and stamina.
Otherwise well done Ghana na Nigeria.


The king.
 
Wachezaji wa afrika wanacheza vizuri wakiwa na wazungu timu moja nje ya hapo hakuna kitu
 
Mkuu hapa kuna laana si bure, hivi kosa letu nn jamani? Mbona Ghana uwezo wameonyesha wa kutosha lakini dah...
 
Hivi izi timu zetu za ki-Africa zina shida gani jaman kwa mfano Nigeria wameshindwaje kuwa funga Iran jaman huku sikupeana maudhi aisee au nyie ndugu zangu mwaonaje
Ghana amekuja kupigilia msumari wa mwisho wa maumivu.
 
Hv nyinyi watz mnachakusema kuhusu mpira? Timu yenu iko wapi!?

Kwanza naweza kusema Cameroon ndio timu hovyo ya kiafrica. Nigeria wamecheza mpira mnzuri wenye confidence sema umaliziaji sio mzuri. Ghana nayo ni timu nzuri sana sema hawakuwa na kasi na ari ya kufunga kama wamarekani. Magoli ya wamarekani ya kibahati bahati sana kama la kwanza lile lilikuwa limetokea tu na makosa makubwa.
Lakin naweza kusema forward za ghana sio nzuri kunahitaji mtu mwingine anaweza kuwa na accuracy, speed and stamina.
Otherwise well done Ghana na Nigeria.


The king.

Wewe ndio mtanzania kweli kweli!Kwa mawazo kama haya haya(chenga twawala) ndio maana tupo hapa tulipo!Mimi nijuavyo mpira ni magoli na haijalishi umeyapataje na siyo kuonyesha urembo!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Miafrika hatujui, nashangaa sana watu wanaotegemea kuona makubwa kwa teams za Africa

Petition iwekwe timu za Africa zipunguzwe kushiriki wc au zitolewe zisishiriki kabisa, waende watu wanaojua tupate radha
 
mkuu na wewe waachie wanaojua lugha ya Kiswahili kwa ufasaha watoe hoja zao. Maana wewe inaonekana unababaisha tu hapa, hapo kwenye rangi nyekundu vipi?




Miafrika hatujui, nashangaa sana watu wanaotegemea kuona makubwa kwa teams za Africa

Petition iwekwe timu za Africa zipunguzwe kushiriki wc au zitolewe zisishiriki kabisa, waende watu wanaojua tupate radha
 
Kwenye mpira kuna kitu wanaita 'tactical discipline', yaani uwezo wa kuzingatia na kuwa makini na mfumo ambao mmeaumua kuutumia kama timu, pia inahusu kuwa makini na malengo ya mchezo.

mfano: kabla ya mechi ya Nigeria vs Iran, kocha wa timu ya Nigeria Steven Keshi aliulizwa atoe maoni yake kuhusu Iran, akasema eti, yeye hawajui hata hao Iran.
Mfano wa 2. Kocha wa ghana alipoulizwa kuhusu kwa nini amemweka benchi Prince Boateng na Essien akasema mbona kuna wachezaji wengi wazuri tu kwenye timu.

Kwa ufupi; timu nyingi za Afrika zinalewa sifa ya kushiriki tu kombe la Dunia, zaidi ya hapo wanakosa malengo. IVORY COAST wamefanya vizuri. Huenda watapenya kwenye hatua zinazofuata.



Nigeria timu ni hovyo kabisa wala haikuwa na kiwango cha kucheza world cup.
..at least Ghana wana timu nzuri japo US nao safari hii wamekuja vizuri
 
Soma hotuba ya kibaguzi ya kaburu bortha ya mwaka 1985 ndio utajua kuna ka ukweli fulani. Wakiwa wanacheza huko ulaya wamechanganyikana na wazungu, unawaona kama watu vile ila wakiwapeke yao kwenye timu ya taifa lao ndio vituko vinaanza. Watu gani wanalipywa mamilioni huko ulaya lakini wanagoma kwenda kuichezea timu yao mpaka serikali iwalipe?
 
Uliza yalomkuta Ghana, kasawazisha na kubweteka ameishia kuchapwa la pili muda mfupi tu!!!
 
Hivi izi timu zetu za ki-Africa zina shida gani jaman kwa mfano Nigeria wameshindwaje kuwa funga Iran jaman huku sikupeana maudhi aisee au nyie ndugu zangu mwaonaje

Wewe unaweka matumaini kwa mabishoo Nigeria kweli jamani,mimi Nigeria hata ipangwe na Sudan ya kusini ntashabikia Sudan ya kusini
 
Waafrika hatuna malengo. Tuneanda world cup bila kuwa na imani kuwa tunaenda kushinda. Wapikaji wa timu wasipohakikisha wachezaji wote na nasisitiza wote imani yao ni moja ni kazi bure! Nafikiri wengine wanaenda kule kucheza ili wapate timu za nje za kuwapa ajira! Ni kama zile mbio za kupokezana kijiti wote mnatakiwa mawazo na nia zenu zafanane ndio mtashinda.
 
Back
Top Bottom