kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
Kusajili wachezaji bila kuwepo kwa kocha mkuu, kuondoka kwa Zahera na makocha wengine, kuondoka Molinga, Yondani, Ngassa, Carlinhos, Lamine, Morrison, Mwakalebela na kusuasua kwa mabadiliko ya club ni ushahidi tosha kuwa benchi la ufundi na wachezaji sio sehemu ya tatizo la Yanga kwa sasa. Kuna kila dalili kuwa Tatizo kubwa ni uongozi wa club.
Msolla kuwa na taaluma ya ukocha ni sehemu ya tatizo kubwa kwa makocha na club. Lakini TTF nayo ikaongeza ugumu kwenye shida za yanga.
Msolla kuwa na taaluma ya ukocha ni sehemu ya tatizo kubwa kwa makocha na club. Lakini TTF nayo ikaongeza ugumu kwenye shida za yanga.