Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,767
- 24,187
Wakuu kuna WiFi tunatumia hapa chuo but iko slow sana .kiasi kwamba hata kudownload photos za watsaap wala kuplay video haiwezekani.
Lakini meseji za whatsaap zinaingia fresh kwenye simu. Pia unaweza kuingia Facebook, lakini kudownload vitu haiwezekani
Je, tatizo linaweza kuwa ni nini?
Lakini meseji za whatsaap zinaingia fresh kwenye simu. Pia unaweza kuingia Facebook, lakini kudownload vitu haiwezekani
Je, tatizo linaweza kuwa ni nini?