luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,021
- 21,263
Kuna mkaka nilimkosaga hivi hivi .sasa hivi kaoa, najiuliza kama mimi nilikuwa nakereka kukaa nae tu meza moja mkewe anawezaje kulala nae? Nawaza wanabusiana kweli? Akiongea harufu inayotoka kha!
Yule dada alifata pesa.ila mimi bora nimkose siwezi vumilia ike harufu kisa ndoa kha!
Yule dada alifata pesa.ila mimi bora nimkose siwezi vumilia ike harufu kisa ndoa kha!