Tatizo la waamuzi Africa limekosa tiba au ni udhaifu wa CAF

Tusemeni ukweli tuu, Afcon ya mwaka huu ilikua hovyo, waarabu wameonewa sana,,,fitina kama fitina 😁 kwanzia kwa egypt, Algeria, Comoro n.k
Niliangalia Mechi ya Pyramids na Mazembe, sikuona kama Pyramids walionewa; Mazembe walifunga mabao mazuri sana.
 
Kwa alie tazama mechi ya Mazembe na Rs Berkane kayaona nliyokua nasema
 
Mazembe wamefanyiwa figusu halafu yule mfungaji wa Berkane anashangilia kishoga kwa madharau
 
Kwa alie tazama mechi ya Mazembe na Rs Berkane kayaona nliyokua nasema
Halafu Simba SC wakifanya yao kwa Lupaso wanatokea wachambuzi wapumbavu na mashabiki wa Uto kupiga kelele..Pole sana Tp Mazembe.
 
Najaribu kuwaza hawa waamuzi wanao chezesha michuano iliyo chini ya CAF wana matatizo gani ? ni kwamba hawana uelewa, wanafanya makusudi au kuna sheria za mpira ambazo zipo Africa kwingine hazipo?
Mifano ya mechi zilizo leta utata zipo nyingi hapa nita ainisha chache
1. Mechi ya kufuzu world cup kati ya Ghana na South Africa penalty ya utata
2. Finali ya Champions league 2019 kati ya Wydad Casablanca na Esperance de Tunis ( mechi ilivunjika kwa utata waemaamuzi)
3. Mechi ya Tunisia na Mali kwenye mashindano ya AFCON 2022
4. Mechi ya Al Ahl na Raja Casablanca hii ya juzi ajabu ni kwamba referee alienda kuangalia kwenye VAR na inaonyesha wazi mpira uligusa goti sio mkono bado referee akaweka tuta
5. Mechi ya Simba na Orando sikujua kwanini referee hakuenda kujiridhisha kwenye VAR
6. Mechi ya Asec Memosa na USGN kuna penalty ilitowewa mpka unae tazama unaona aibu.
Hizo ni baadhi ya mifano they are too many to mention, swali ambalo najiuliza kwamba CAF ni taasisi dhaifu imeshindwa kuondoa huu uozo kwani hatuoni kama hausaidii lolote ndio maana team zetu zikienda level ya mashindano ambayo fair play ipo tuna kwama mfano klabu bingwa dunia na world cup
Nb. Sijataka kuongelea waamuzi wetu wa TFF hawa wamekisha shindikana
Hij no 9 isomeke Orlando vs Simba ndio mechi ambayo ilikuwa na controversy decision hasa goli la orlando then VAR ikaja kuomekana dak 10 baadae
 
Kwa alie tazama mechi ya Mazembe na Rs Berkane kayaona nliyokua nasema

Berkane wamestahili ushindi, walichokifanya Senegal kwa egypt hamjacomplain, kwa mazembe mmeanza kulialia, malipo ni hapa hapa duniani. Uzuri mechi ya jana refa hakuegemea upande wowote, na zile tochi hazikuleta madhara yoyote.

Mazembe hawajui mpira, rafu sana, kulalama, fujo nyingi na ile red card usiseme wameonewa.
 
Mazembe wamefanyiwa figusu halafu yule mfungaji wa Berkane anashangilia kishoga kwa madharau

Ila nyie watu ni wonders sana, tp amezidiwa idara zote, kama uliangalia mpira jamaa walizidiwa sana angalia first and second half, in short Berkane amestahili ushindi.
 
Najaribu kuwaza hawa waamuzi wanao chezesha michuano iliyo chini ya CAF wana matatizo gani ? ni kwamba hawana uelewa, wanafanya makusudi au kuna sheria za mpira ambazo zipo Africa kwingine hazipo?
Mifano ya mechi zilizo leta utata zipo nyingi hapa nita ainisha chache
1. Mechi ya kufuzu world cup kati ya Ghana na South Africa penalty ya utata
2. Finali ya Champions league 2019 kati ya Wydad Casablanca na Esperance de Tunis ( mechi ilivunjika kwa utata waemaamuzi)
3. Mechi ya Tunisia na Mali kwenye mashindano ya AFCON 2022
4. Mechi ya Al Ahl na Raja Casablanca hii ya juzi ajabu ni kwamba referee alienda kuangalia kwenye VAR na inaonyesha wazi mpira uligusa goti sio mkono bado referee akaweka tuta
5. Mechi ya Simba na Orando sikujua kwanini referee hakuenda kujiridhisha kwenye VAR
6. Mechi ya Asec Memosa na USGN kuna penalty ilitowewa mpka unae tazama unaona aibu.
Hizo ni baadhi ya mifano they are too many to mention, swali ambalo najiuliza kwamba CAF ni taasisi dhaifu imeshindwa kuondoa huu uozo kwani hatuoni kama hausaidii lolote ndio maana team zetu zikienda level ya mashindano ambayo fair play ipo tuna kwama mfano klabu bingwa dunia na world cup
Nb. Sijataka kuongelea waamuzi wetu wa TFF hawa wamekisha shindikana
africa kungekuwa na wamuuzi wasiokula rushwa wale simba hata makundi wasingeenda
bwana cresentus magoli atanielewa hapa
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom