Quemu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 984
- 128
Inawezekana tatizo la joto liko nje ya uwezo wa kiutaalam kulithibiti. Lakini kweli hatuwezi kutatua tatizo la vumbi? Maana duh...hili vumbi sasa limezidi hapa Bongo. Nilikuwa Arusha wikiendi hii, yaani nimebugia vumbi mpaka likanikaba koo... Dar ndo usiseme.... yaani hata uwezi kuvaa kiatu chako cha mng'aro...lol
Kamanda Kibunango, mwanamazingira maarufu hapa JF, na wanamazingira wote waliopo humu, hebu tushushieni mtiririko wa kitaalam kuhusu ni nini kinaweza kufanyika ili kupunguza vumbi bongo?
Kamanda Kibunango, mwanamazingira maarufu hapa JF, na wanamazingira wote waliopo humu, hebu tushushieni mtiririko wa kitaalam kuhusu ni nini kinaweza kufanyika ili kupunguza vumbi bongo?